Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,006
- 13,281
Hahaha nimecheka sana,yani kuna vitu vingine watu wanaviongea unabaki kucheka tu....tunaambiwa ata kisiwa cha mbudya ni chake eti !
Hivi mtu anaweza kumiliki kisiwa chote kama mafia na nungwi?
ninachojua ana kipande cha hiyo mbudya ndo anapigia business hapo,ndo pengine anaitwa rais wa mbudya kwa sababu hiyo?