kavillondo
Member
- Nov 1, 2014
- 6
- 1
Hahaaa poleni sana,, AY anakbalika sana Africa,, mond yuko hot kwa sasa,, lkn kimafanikio ya mziki hamkuti AY,,,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Same applies to me!!Nadhani style yake ya kuimba haijanibamba...Sijui tu inakuaje ila mimi kama mimi sijawahi kupenda wimbo wake hata mmoja
Hahaaa poleni sana,, AY anakbalika sana Africa,, mond yuko hot kwa sasa,, lkn kimafanikio ya mziki hamkuti AY,,,
Tatizo nyota
Jamaa yuko kwenye harakati kitambo kwenye hii game. AY ndo alianza kuwafumbua macho wasanii kuhusu umuhimu wa kufanya collabo na wasanii wa nje ya nchi.
Pia ndo alikuwa msanii wa kwanza bongo kuwa siriaz kuinvest katika video (ki-international zaid) hata Diamond amewahi kulisema hilo kwenye intavyuu zake/kwenye social networks kwamba jamaa ndo kamuinspire.
Sasa nashindwa kuelewa why anashindwa kuwa succesful kivile japo anajituma sana, yaani naona kama ka-stack palepale, nilitamani naye niwe namsikia kwenye mambo makubwa makubwa kama 'bwa mdogo' Diamond ili walau tuwe na wawakilishi wengi nje.
Mi nazan kama vile watanzania hatumpi sapoti ya kutosha kuanzia media hadi mashabiki, maana eg. huu wimbo mpya alioutoa ft Sean Kingston ni mzuri but sioni ukizungumziwa kihivo. So wadau mnahisi AY anafeli wapi?
Jamaa yuko kwenye harakati kitambo kwenye hii game. AY ndo alianza kuwafumbua macho wasanii kuhusu umuhimu wa kufanya collabo na wasanii wa nje ya nchi.
Pia ndo alikuwa msanii wa kwanza bongo kuwa siriaz kuinvest katika video (ki-international zaid) hata Diamond amewahi kulisema hilo kwenye intavyuu zake/kwenye social networks kwamba jamaa ndo kamuinspire.
Sasa nashindwa kuelewa why anashindwa kuwa succesful kivile japo anajituma sana, yaani naona kama ka-stack palepale, nilitamani naye niwe namsikia kwenye mambo makubwa makubwa kama 'bwa mdogo' Diamond ili walau tuwe na wawakilishi wengi nje.
Mi nazan kama vile watanzania hatumpi sapoti ya kutosha kuanzia media hadi mashabiki, maana eg. huu wimbo mpya alioutoa ft Sean Kingston ni mzuri but sioni ukizungumziwa kihivo. So wadau mnahisi AY anafeli wapi?
sisi hiphop headz tunatambua kazi yake ,wakati anapokea tuzo za channel o diamond alikuwa tandale anakula ngisi na pweza wa kudonoa na toothpick,michachandu kibao na michumvi