Nini amekosa AY?

Nini amekosa AY?

Style yake sio kabisa....anaimba kiboss boss sana hata hashawishi kabisa.

Nyimbo zake nyingi zinatazamika tu ila audio zake hazisisimui kwakweli. Ila kwenye touch me kajitahidi

Kuna nchi za ulaya ukibahatika kuishi unaonekana utakuwa na wakati mgumu sana wewe bibie maana utakuta kuna show kubwa inafanyika kwa kiingilio kikubwa ukiingia humo unakuta mwanamuziki mwenyewe kawekewa kiti kabisa cha kukaa jukwaani hakuna mauno hapo na utashangaa show hiyo imevunja rekodi.

Achana na watu weupe kabisa hawa ndio wanajuwa muziki ni nini, mimi ukija nyumbani kwangu jumapili bila hata ya mimi sijakwambia lolote utapata ishara tu kama uko na mtu tofauti utakaposikia tu playlist yangu au afadhari naweza kuweka choice fm wale tunaongea lugha moja.
 
Kwenye u heard ya Clouds leo wamemuuliza kama anamla Siti Mtemvu maana wameonekana beach fulani wakila maselfie ya ukweli na Siti Mtemvu lakini kawachomolea na kuwaambia yeye yupo single na hajakaa wala kusimama kwa demu yoyote.

Hii nini maana yake? Maana yake hata kama ana project zake binafsi ni mambo yake private.

Kuna watu na akili zao mpaka leo hawajui kwa imani zote kwamba kuzini ni dhambi sasa wanalazimisha kila mtu awe bize kusifia uzinzi.

hahahaha nimeisikia jamaa amekana jumla hataki kupakwa shombo la kashfa. watu watashangaa AY anaweza kuwepo kwenye gemu miaka 15 ijayo labda aamue mwenyewe kuacha
 
hahahaha nimeisikia jamaa amekana jumla hataki kupakwa shombo la kashfa. watu watashangaa AY anaweza kuwepo kwenye gemu miaka 15 ijayo labda aamue mwenyewe kuacha

Tunaojuwa muziki AY bado yupo sana kwenye game huyu ndio mzee wa cormecial original.
 
AY ana mafanikio mengi sana sema hayatangazi kwa maana anafanya ishu zake kizungu. wale wa uswazi take away hata wakinunua redio mtaa mzima unafungwa. Mafanikio ni mtu kuita watu wakampokee airport kwa maandamano? ni kupanga nyumba ya kawaida sinza mmejibana ukoo mzima including mama na dada zako?

tofauti ya AY ni ukimya hatangazi. juzi tu amefanya collabo na sean kingston kitu kinapigwa majuu. ingekuwa yule uswazi takeaway na team yake amefanya hili basi angetangaza dunia nzima.

Mhh huyu mtoto ana kuumiza kichwa mpaka unatia huruma....btw jiandae tu kisaikolojia maana kama ulifikiri ametangaza basi ajatangaza chochote bado, siku akitangaza matusi yake utakufa kabisa na hizo stress za ........ na mbwa.
 
Basi amekoma, shhda ya JF watt wanakariri sana wanadhani kila mtu yupo kwenye stress kama yeye.

Umeona alivyonivamia?? Is getting serious now kila nikicomment mahali diamond amelinganishwa na mtu ni lazima anijibu ovyo ...why?? Nimemkosea nini? Diamond mwenyewe anakiri kwamba AY amemuonyesha njia
 
Siku mtu akifikisha hata 5mil USD kwenye game ya bongo fleva ndo ntaanza kuchangia mada za mafanikio kuhusu hawa wasanii wa hapa kwetu!

For now bado saaaaaanaaaaa
 
Kwenye u heard ya Clouds leo wamemuuliza kama anamla Siti Mtemvu maana wameonekana beach fulani wakila maselfie ya ukweli na Siti Mtemvu lakini kawachomolea na kuwaambia yeye yupo single na hajakaa wala kusimama kwa demu yoyote.

Hii nini maana yake? Maana yake hata kama ana project zake binafsi ni mambo yake private.

Kuna watu na akili zao mpaka leo hawajui kwa imani zote kwamba kuzini ni dhambi sasa wanalazimisha kila mtu awe bize kusifia uzinzi.

AY is selfish, na atabaki kuwa hivyo.. Na hayo mafanikio yake mnayaona watu wenye uwezo wa macho ya kichawi.
 
Style yake sio kabisa....anaimba kiboss boss sana hata hashawishi kabisa.

Nyimbo zake nyingi zinatazamika tu ila audio zake hazisisimui kwakweli. Ila kwenye touch me kajitahidi

Kajitahidi kidogo,,!! Its noisy..!!
 
Hivi wewe ulikuwa unajuwa kama Mkasi ni project ya AY? kama kuwa na big vision ndio macho ya kichawi basi mimi ni gagura kabisa.

Huh..! Mkasi is just a mere tv show.. Jay dee ana show yake , Wema ana show yake.

Come again.
 
Huh..! Mkasi is just a mere tv show.. Jay dee ana show yake , Wema ana show yake.

Come again.

Ni tv show ipi hapo kati ya hizo inabamba?

Kuna kampuni yenye jeuri ya kukataa kudhamini Mkasi wa salama J kama itaombwa udhamini?

Nadhani mnapaswa kumfundisha huyo kijana wenu project hazifanyiki kitandani kwenye ngono bali hizi ndio project za kweli.
 
Kwenye u heard ya Clouds leo wamemuuliza kama anamla Siti Mtemvu maana wameonekana beach fulani wakila maselfie ya ukweli na Siti Mtemvu lakini kawachomolea na kuwaambia yeye yupo single na hajakaa wala kusimama kwa demu yoyote.

Hii nini maana yake? Maana yake hata kama ana project zake binafsi ni mambo yake private.

Kuna watu na akili zao mpaka leo hawajui kwa imani zote kwamba kuzini ni dhambi sasa wanalazimisha kila mtu awe bize kusifia uzinzi.

Kudanganya sio dhambi ee?Maana ukisema uko single wakati si kweli it means ni mwongo
 
Unakula bure n kulala bure ?Bilashaka wewe ni mfungwa

Haha may be may be not. Je wafungwa ulaya wanaruhusiwa kushinda mtandaoni? Je kuna nchi moja tu duniani imebaki kwa kuwa na high level of social welfare je unaijua? Ni nchi hyo pekee amvayo RAIA na wasio RAIA ( wenye vigezo) watakula na kulala wakati wamemaliza shule wanatafuta professional jobs...
Majibu ukipata jijibu moyoni usinijibu Mimi. Byeeee
 
Unakula bure n kulala bure ?Bilashaka wewe ni mfungwa

Hahaha yani kuna wajinga wanachekesha sana yani mtu anajisifia kula bure na kulala bure, tena mpka apelekwe mtoni ndio anapata hiyo access....Alafu anakataa hana stress.
 
Hahahahahahaha mnatamani kutujua ila bahati mbaya JF watu wanaingia kwa anony. Mnatamani saaaaaaana hadi mnatuprovoke tukiwaambia ukweli mnaukataa....! Ukweli hatuwezi kuwa the same, unaruhusiwa kuwaza lolote kuhusu mtu lakini kumbuka si kazima yawe sahihi. Goday
 
Sijui tu inakuaje ila mimi kama mimi sijawahi kupenda wimbo wake hata mmoja

Ni muhimu kumsupport lakini kama alivyosema Honeyfaith! Nami pia namfahamu AY siku nyingi sana tangu wakiwa na kundi lao la upanga back to 90's ila SIJAWAHI PENDA WIMBO HATA MMOJA ~!~ labda kwa ushauri tu ajaribu kuangalia soko linataka nini! kwa nini nyimbo nyingine zawengine Diamond,Rich mavoko,Amini nk zina hit na za kwake Ay pamoja na kuwa video ni za gharama lakini zinaonekana ni za kawaida,tatizo la pili sisi wabongo tunapenda nyimbo za mapenzi na zinazofanana na hizo angalia kundi la mkubwa na wanae wanakusanya watu na kufanya shoo balaa kwa sababu wanaimba mambo ya kawaida kabisa ya jamii na mapenzi kwa ujumla!ni ushauri tu ninavyoona
 
Aya mla milungi na wewe katafute babu ulaya kama shosti ako, ila uvumilie akichoka anampa na mbwa wake afaidi.

Is none of ur fuckin business, mimi nimekanyaga mamtoni first trip kwa connection zangu binafsi nikiwa kijana mdogo sana i was just 19 years old.

Kila mtu afanye yake tukutane tu hapa jamvini kuburudisha nafsi zetu.

Tabia za mtoto wa kiume kujifanya unamjuwa mtu ambaye humjui na wala hujui hata anafananaje ni ushamba tu, kwanza mtu kama mimi siyo wa level ya kufanyiwa cyber bullying, nina exposure na experience ya kutosha kimaisha.
 
Hahahahahahaha mnatamani kutujua ila bahati mbaya JF watu wanaingia kwa anony. Mnatamani saaaaaaana hadi mnatuprovoke tukiwaambia ukweli mnaukataa....! Ukweli hatuwezi kuwa the same, unaruhusiwa kuwaza lolote kuhusu mtu lakini kumbuka si kazima yawe sahihi. Goday

You remember those back days i use to be stupid too before i change my behaviour niliaminishwa wewe ni Zamaradi wa Ruge lakini siku zote kweli usimama kuwa kweli milele uongo na ukweli vimejulikana.
 
Back
Top Bottom