Ansah Miles
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 392
- 175
hahaaaa......siyo siri mie mwenyewe mmoja wapo wa kusonoa pweza na ngisi......
nimekukubali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaaa......siyo siri mie mwenyewe mmoja wapo wa kusonoa pweza na ngisi......
You remember those back days i use to be stupid too before i change my behaviour niliaminishwa wewe ni Zamaradi wa Ruge lakini siku zote kweli usimama kuwa kweli milele uongo na ukweli vimejulikana.
Umeona eeehhh yani me siku zote nitasimamia kile ninachoamini no matter what. With time wenye akili wanaelewa ila wale hayawani watabaki hayawani.
Nakushauri usipoteze muda kujibizana na mtu mpum..bavu. Kuna watu huwa nishawajua bila personal attack kwao hawajacomment .,huwa siwajibu watu wa aina hii. ila wasivyo na akili hawajiulizi why huwa siwajibu matokeo yake wananitafuta hivyo hivyo. Kwa kifupi nimeamua kuwaachia benefit of doubt wahisie hivyo hivyo wajijibu wenyewe. Ulweli kuhusu mimi ninao Mimi binafsi ( hata mzazi wangu aweza asinijue vyema).
Just calm down
Pia ''behind success man their is woman behind'' hahahah mtazamo
mkuu nimepoa.
Mnataka mafanikuo gani?
Mafanikio ya uasherati
Mafanikio ya scandals
Mafanikio ya kioesa
Mafanikio ya kujishow off IG
Mafanikio ya kupisti.mipasho social network au???
Duh wabongo tunajua kudanganyana, eti AY ni meneja wa PSquare teh teh. Eti AY anajumba kubwa South wakati bongo tu hana lol, hivi unajua kwamba AY anaishi kwenye nyumba ya kupanga Sinza? mkweli wa mambo
Duh wabongo tunajua kudanganyana, eti AY ni meneja wa PSquare teh teh. Eti AY anajumba kubwa South wakati bongo tu hana lol, hivi unajua kwamba AY anaishi kwenye nyumba ya kupanga Sinza? mkweli wa mambo
me nnachompendea ni money maker,kwa sasa
1) Anasomea Urubani
2) Anamiliki kisiwa cha Mbudya
3) Ana daladala 3 mjini hapa,tegeta kariakoo route
4) CEO kipindi cha Mkasi,anapiga pesa tu
5) Balozi wa Brands kubwa kama Vodacom
6) Ana kampuni inayoitwa Unit Entertainment
7)Ana duka kubwa zuri la Nguo Sinza linaitwa AY wear
So Jamaa kimaisha yuko poa
me nnachompendea ni money maker,kwa sasa
1) Anasomea Urubani
2) Anamiliki kisiwa cha Mbudya
3) Ana daladala 3 mjini hapa,tegeta kariakoo route
4) CEO kipindi cha Mkasi,anapiga pesa tu
5) Balozi wa Brands kubwa kama Vodacom
6) Ana kampuni inayoitwa Unit Entertainment
7)Ana duka kubwa zuri la Nguo Sinza linaitwa AY wear
So Jamaa kimaisha yuko poa