Mamujay Senior Member Joined Dec 24, 2022 Posts 149 Reaction score 345 Feb 15, 2023 #1 Wadau huu uzi ni wetu, wake kwa waume mabibi na mabwana, Pindi unaponunua gari Toka showroom kwa Mara ya Kwanza Nini Cha kufanya. Wake wataalamu tunawasikiliza. Mimi sio mtaalamu Sana wa magari
Wadau huu uzi ni wetu, wake kwa waume mabibi na mabwana, Pindi unaponunua gari Toka showroom kwa Mara ya Kwanza Nini Cha kufanya. Wake wataalamu tunawasikiliza. Mimi sio mtaalamu Sana wa magari
Smart Gang JF-Expert Member Joined Nov 16, 2022 Posts 2,013 Reaction score 3,406 Feb 15, 2023 #2 Niko hapa Mbele.
Kaka yake shetani JF-Expert Member Joined Feb 1, 2023 Posts 5,771 Reaction score 14,732 Feb 15, 2023 #4 Waulize wanaosema usiwapangie pesa ya kununua ni umaskini wako. We nunua tu si unapesa ndio kauli yao
Waulize wanaosema usiwapangie pesa ya kununua ni umaskini wako. We nunua tu si unapesa ndio kauli yao
Mamujay Senior Member Joined Dec 24, 2022 Posts 149 Reaction score 345 Feb 15, 2023 Thread starter #5 Kuliombea saf