Nini chanzo cha hofu impatayo mtu anapo fika umri wa miaka 30 na kuendela

Nini chanzo cha hofu impatayo mtu anapo fika umri wa miaka 30 na kuendela

mapema

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2014
Posts
640
Reaction score
1,881
Tokea nilipofikisha miaka 30 mpaka sasa mwaka wa 6 baadae, nimekuwa na hofu sana na maisha nikitazama nilipotoka na kulinganisha nilipo majibu ya ninakoenda hakuna nuru, mapambano ni mengi ila matokeo chanya ni machache sana.

Miaka kumi nyuma ilikua ni juzi tu hapo nilikua na miaka 20 na, miaka kumi mbele ni kesho kutwa hapo nitakuwa naitafuta 50!

Nilidhani hofu hii ni kwangu tu kumbe wengi ninaokutana nao wakiwa na umri wa miaka zaidi ya 30 wanaandamwa sana na hofu na kukata tamaa .

Kwa wale waliovuka umri huu ni vipi mliweza kuvuka hapa na vipi inavyowezekana kuondoa hofu hii?
 
Tokea nilipofikisha miaka 30 mpaka sasa mwaka wa 6 baadae, nimekuwa na hofu sana na maisha nikitazama nilipotoka na kulinganisha nilipo majibu ya ninakoenda hakuna nuru, mapambano ni mengi ila matokeo chanya ni machache sana.

Miaka kumi nyuma ilikua ni juzi tu hapo nilikua na miaka 20 na, miaka kumi mbele ni kesho kutwa hapo nitakuwa naitafuta 50!

Nilidhani hofu hii ni kwangu tu kumbe wengi ninaokutana nao wakiwa na umri wa miaka zaidi ya 30 wanaandamwa sana na hofu na kukata tamaa .

Kwa wale waliovuka umri huu ni vipi mliweza kuvuka hapa na vipi inavyowezekana kuondoa hofu hii?
Unknown future.. With a lot of options and dreams to fulfill
 
Tokea nilipofikisha miaka 30 mpaka sasa mwaka wa 6 baadae, nimekuwa na hofu sana na maisha nikitazama nilipotoka na kulinganisha nilipo majibu ya ninakoenda hakuna nuru, mapambano ni mengi ila matokeo chanya ni machache sana.

Miaka kumi nyuma ilikua ni juzi tu hapo nilikua na miaka 20 na, miaka kumi mbele ni kesho kutwa hapo nitakuwa naitafuta 50!

Nilidhani hofu hii ni kwangu tu kumbe wengi ninaokutana nao wakiwa na umri wa miaka zaidi ya 30 wanaandamwa sana na hofu na kukata tamaa .

Kwa wale waliovuka umri huu ni vipi mliweza kuvuka hapa na vipi inavyowezekana kuondoa hofu hii?
Bado haujakutana na Kauli za watu wanasema ukifika miaka hiyo inabidi uwe umejenga na unaishi na familia yako
 
Tokea nilipofikisha miaka 30 mpaka sasa mwaka wa 6 baadae, nimekuwa na hofu sana na maisha nikitazama nilipotoka na kulinganisha nilipo majibu ya ninakoenda hakuna nuru, mapambano ni mengi ila matokeo chanya ni machache sana.

Miaka kumi nyuma ilikua ni juzi tu hapo nilikua na miaka 20 na, miaka kumi mbele ni kesho kutwa hapo nitakuwa naitafuta 50!

Nilidhani hofu hii ni kwangu tu kumbe wengi ninaokutana nao wakiwa na umri wa miaka zaidi ya 30 wanaandamwa sana na hofu na kukata tamaa .

Kwa wale waliovuka umri huu ni vipi mliweza kuvuka hapa na vipi inavyowezekana kuondoa hofu hii?
Chanzo cha hofu umekitaja ndani ya uzi, kwamba hakuna nuru, halafu unaliza tena chamzo?
 
Punguza matarajio,hofu itaondoka ila ni zoezi linaloweza kuchukuwa maisha yako yote,maana ni mchakato ambao bado unaendelea,kwa hiyo matarajio yapo kilq iitwapo leo,cha msingi ni wewe kutumia akili zako na siyo hisia.
 
Wasiwasi wa hapo inawezekana ni vile sasa unafikiria kikamilifu.

Wanaosema ni kujipata, sio hicho tu. Kuna mambo kama akili kupevuka na kuitambua maana ya maisha halafu unaanza kujiuliza hivi maisha ndiyo hayahaya? Yaani hata kama una gari na nyumba lakini sasa ndio wakatu unajiuliza hivi maisha ndiyo hayahaya tu.

Hapo umeshafanya kile ulichohisi ndio malengo ya maisha lakini bado haujatulia. Unaanza kujiuliza mbina sijihisi kutimia? Unajua wakati mwingine kubakia na lengo linalojulikana inakupa muelekeo usio na maswali mengi. Mfano tafuta hela, pata mtoto, nunua gari/nyumba ni 'straightforward' goals.

Shida ni vinawezekana na vinaisha u abaki na swali. Wazungu wanaita MidLifeCrisis.

Pendekezo la suluhisho: Jitengenezee/tafuta lengo la maisha lisilo na mwisho hadi mwiaho wa maisha yako na hautapata wasiwasi usioeleweka tena. Purpose - Endless mfano. Changia katika kuboresha maisha yangu na watu wote, Tafiti ulimwengu na etc chochote tu ambacho hakina mwisho na hakikuhusu peke yako kibinafsi.
Screenshot_20240923-201242_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom