Nini chanzo cha hofu impatayo mtu anapo fika umri wa miaka 30 na kuendela

Nini chanzo cha hofu impatayo mtu anapo fika umri wa miaka 30 na kuendela

Tokea nilipofikisha miaka 30 mpaka sasa mwaka wa 6 baadae, nimekuwa na hofu sana na maisha nikitazama nilipotoka na kulinganisha nilipo majibu ya ninakoenda hakuna nuru, mapambano ni mengi ila matokeo chanya ni machache sana.

Miaka kumi nyuma ilikua ni juzi tu hapo nilikua na miaka 20 na, miaka kumi mbele ni kesho kutwa hapo nitakuwa naitafuta 50!

Nilidhani hofu hii ni kwangu tu kumbe wengi ninaokutana nao wakiwa na umri wa miaka zaidi ya 30 wanaandamwa sana na hofu na kukata tamaa .

Kwa wale waliovuka umri huu ni vipi mliweza kuvuka hapa na vipi inavyowezekana kuondoa hofu hii?
Ikiwa wewe ni mwanadamu una khofu ya mwenyezi mungu nilazima utakuwa na khofu maana utokapo ni mbali na uendapo ni karibu maana hujui mauti yatakufika lini muombe muumba wako akuongoze na akupe mwisho mwema
 
Punguza matarajio,hofu itaondoka ila ni zoezi linaloweza kuchukuwa maisha yako yote,maana ni mchakato ambao bado unaendelea,kwa hiyo matarajio yapo kilq iitwapo leo,cha msingi ni wewe kutumia akili zako na siyo hisia.
Hakika kabisaaa.
 
Tokea nilipofikisha miaka 30 mpaka sasa mwaka wa 6 baadae, nimekuwa na hofu sana na maisha nikitazama nilipotoka na kulinganisha nilipo majibu ya ninakoenda hakuna nuru, mapambano ni mengi ila matokeo chanya ni machache sana.

Miaka kumi nyuma ilikua ni juzi tu hapo nilikua na miaka 20 na, miaka kumi mbele ni kesho kutwa hapo nitakuwa naitafuta 50!

Nilidhani hofu hii ni kwangu tu kumbe wengi ninaokutana nao wakiwa na umri wa miaka zaidi ya 30 wanaandamwa sana na hofu na kukata tamaa .

Kwa wale waliovuka umri huu ni vipi mliweza kuvuka hapa na vipi inavyowezekana kuondoa hofu hii?
Umri huu kwa kweli ndio maisha yanaanza rasmi! Pia ni finali kwa mambo ya utafutaji na kujenga familia. Kama hayaoneshi matumaini kipingi hiki 30-50 basi una kila sababu ya kuwa na hofu. Lakini usihofu sana jipange vizuri ukiwa sawa unaweza bado kupambana hadi hata 60s ukatoboa.
 
Tokea nilipofikisha miaka 30 mpaka sasa mwaka wa 6 baadae, nimekuwa na hofu sana na maisha nikitazama nilipotoka na kulinganisha nilipo majibu ya ninakoenda hakuna nuru, mapambano ni mengi ila matokeo chanya ni machache sana.

Miaka kumi nyuma ilikua ni juzi tu hapo nilikua na miaka 20 na, miaka kumi mbele ni kesho kutwa hapo nitakuwa naitafuta 50!

Nilidhani hofu hii ni kwangu tu kumbe wengi ninaokutana nao wakiwa na umri wa miaka zaidi ya 30 wanaandamwa sana na hofu na kukata tamaa .

Kwa wale waliovuka umri huu ni vipi mliweza kuvuka hapa na vipi inavyowezekana kuondoa hofu hii?
Mwaka 2005 juzi tu nilikuwa na miaka 25, leo eti tayari nna miaka 45!!!? Aisee maisha ya duniani ni mafupi sana sana!! Inamaana miaka ishirini ijayo sio mbali nitakuwa mzee!!
 
Mambo mengi-sativa indica,chanting,ital ginger herbs then kuna hii mwita mkubwa na mdogo wake harufu nzuri ..yoww i feel paradise
 
Yani wenye 50 hawana hofu halafu wewe mwenye vi-30 ndio uwe una hofu
 
Yani wenye 50 hawana hofu halafu wewe mwenye vi-30 ndio uwe una hofu
 
Punguza matarajio,hofu itaondoka ila ni zoezi linaloweza kuchukuwa maisha yako yote,maana ni mchakato ambao bado unaendelea,kwa hiyo matarajio yapo kilq iitwapo leo,cha msingi ni wewe kutumia akili zako na siyo hisia.
Asante sana mkuu, naichukua hii.
 
Wasiwasi wa hapo inawezekana ni vile sasa unafikiria kikamilifu.

Wanaosema ni kujipata, sio hicho tu. Kuna mambo kama akili kupevuka na kuitambua maana ya maisha halafu unaanza kujiuliza hivi maisha ndiyo hayahaya? Yaani hata kama una gari na nyumba lakini sasa ndio wakatu unajiuliza hivi maisha ndiyo hayahaya tu.

Hapo umeshafanya kile ulichohisi ndio malengo ya maisha lakini bado haujatulia. Unaanza kujiuliza mbina sijihisi kutimia? Unajua wakati mwingine kubakia na lengo linalojulikana inakupa muelekeo usio na maswali mengi. Mfano tafuta hela, pata mtoto, nunua gari/nyumba ni 'straightforward' goals.

Shida ni vinawezekana na vinaisha u abaki na swali. Wazungu wanaita MidLifeCrisis.

Pendekezo la suluhisho: Jitengenezee/tafuta lengo la maisha lisilo na mwisho hadi mwiaho wa maisha yako na hautapata wasiwasi usioeleweka tena. Purpose - Endless mfano. Changia katika kuboresha maisha yangu na watu wote, Tafiti ulimwengu na etc chochote tu ambacho hakina mwisho na hakikuhusu peke yako kibinafsi.
View attachment 3104589
Asante mkuu, kuna kitu umezungumza ,hii comment naicopy nisome tena.
 
Ikiwa wewe ni mwanadamu una khofu ya mwenyezi mungu nilazima utakuwa na khofu maana utokapo ni mbali na uendapo ni karibu maana hujui mauti yatakufika lini muombe muumba wako akuongoze na akupe mwisho mwema
Shukurani sana.
 
Umri huu kwa kweli ndio maisha yanaanza rasmi! Pia ni finali kwa mambo ya utafutaji na kujenga familia. Kama hayaoneshi matumaini kipingi hiki 30-50 basi una kila sababu ya kuwa na hofu. Lakini usihofu sana jipange vizuri ukiwa sawa unaweza bado kupambana hadi hata 60s ukatoboa.
Ndio ndugu yangu, naamini kutokea lolote na muda wowote, lakini inabaki kuwa bahati nasibu.
 
Mwaka 2005 juzi tu nilikuwa na miaka 25, leo eti tayari nna miaka 45!!!? Aisee maisha ya duniani ni mafupi sana sana!! Inamaana miaka ishirini ijayo sio mbali nitakuwa mzee!!
Ndio hicho kinacho fikirisha mkuu, miaka kumi nyuma ni kidogo mno, wakati upende mwingine tunaona miaka kumi mbele ni mingi sana.
Hii imenipa wazo fulani la kurudi shule, miaka kadhaa mbele naweza kuwa na kiwango fulani cha elimu.
 
Back
Top Bottom