darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
Na kama hujaoa ndio unakumbana na maswali na ushauri wa kuoa toka wanaoteseka na ndoa. Watakuhimiza kuoa huku wao wanataabika! Ukiwa na presha unaweza kuchua fisi unaliweka ndani.
Tulia maisha ni haya haya...hofu ni ukumbusho wa kuwekeza Kwa ajili ya uzeeni utapoisha nguvu ya kufanya KAZI.
Tulia maisha ni haya haya...hofu ni ukumbusho wa kuwekeza Kwa ajili ya uzeeni utapoisha nguvu ya kufanya KAZI.