Nini chanzo cha Kocha Nabi na Kaze kupigana?

Nini chanzo cha Kocha Nabi na Kaze kupigana?

Status
Not open for further replies.

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Taarifa zilizopokea kwenye vyanzo vyangu ni kwamba Makocha wa Yanga wametofautiana mpaka kufikia kiwango cha kupigana.

Taarifa hizi nilizipuuza lakini kadri muda unavyosogea zinazidi kutolewa katika mitandao ya kijamii.

Bado haijathibitika sababu hasa za kupigana, hata hivyo inadhaniwa kuwa ni Nabi kukosa uvumilivu baada ya kufurumushwa Klabu Bigwa Afrika.
 
Hata Mwinyi Zahera leo namuona aki diss formation ya Nabi aliyoipanga kule Sudan

Tutegemee kusikia nini kwenye Press yao?
Naendelea kusema... Nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba uamuzi wa viungo wanne ( bangala, aucho, Feisal na Aziz) kwenye ile mechi ya Sudan ni wa kocha Nabi... Nitakuwa wa mwisho pia kuamini kwamba Nabi ndiye aliyeamua kisinda acheze ile game ya Sudan na kuacha wachezaji kama Moloko nje
 
Taarifa zilizopokea kwenye vyanzo vyangu ni kwamba Makocha wa Yanga wametofautiana mpaka kufikia kiwango cha kupigana.

Taarifa hizi nilizipuuza lakini kadri muda unavyosogea zinazidi kutolewa katika mitandao ya kijamii.

Bado haijathibitika sababu hasa za kupigana, hata hivyo inadhaniwa kuwa ni Nabi kukosa uvumilivu baada ya kufurumushwa Klabu Bigwa Afrika.
uzi bila picha haunogi mkuu
 
Naendelea kusema... Nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba uamuzi wa viungo wanne ( bangala, aucho, Feisal na Aziz) kwenye ile mechi ya Sudan ni wa kocha Nabi... Nitakuwa wa mwisho pia kuamini kwamba Nabi ndiye aliyeamua kisinda acheze ile game ya Sudan na kuacha wachezaji kama Moloko nje
 
Taarifa zilizopokea kwenye vyanzo vyangu ni kwamba Makocha wa Yanga wametofautiana mpaka kufikia kiwango cha kupigana.

Taarifa hizi nilizipuuza lakini kadri muda unavyosogea zinazidi kutolewa katika mitandao ya kijamii.

Bado haijathibitika sababu hasa za kupigana, hata hivyo inadhaniwa kuwa ni Nabi kukosa uvumilivu baada ya kufurumushwa Klabu Bigwa Afrika.
Yule profesa majalala wameanza kukamatana uchawi. Acha wauane kwa maana vita vya panzi furaha ya kunguru
 
Taarifa zilizopokea kwenye vyanzo vyangu ni kwamba Makocha wa Yanga wametofautiana mpaka kufikia kiwango cha kupigana.

Taarifa hizi nilizipuuza lakini kadri muda unavyosogea zinazidi kutolewa katika mitandao ya kijamii.

Bado haijathibitika sababu hasa za kupigana, hata hivyo inadhaniwa kuwa ni Nabi kukosa uvumilivu baada ya kufurumushwa Klabu Bigwa Afrika.
Muendelezo wa porojo, kuelekea tarehe 23.
 
Awakupigana kabisa,Kaze alimuuliza jambo Nabi,Nabi kumbe alikua na hasira zake akamsukuma Kaze,Kaze nae hakukubali akataka kulipiza ndo watu wakawazuia wasiendelee kusukumana.

Nabi ni kocha wa hovyo anabebwa na ubora wa wachezaji ila mle kocha hamna.
 
Andaeni timu yenu acheni kuhangaika na Yanga.

Mnatumia muda mwingi kujadili Yanga badala ya kujadili yanayowshusu halafu mje mseme tunanunua mechi kumbe mmewekeza kwenye majungu na umbea.
Mbona huko CAF hamjabebwa na mmeona ujinga wa kununua mechi za ndani na kucheza mechi za kirafiki na Mbuni.

Na bado qualification ya makundi ya shirikisho mtajibeba
 
Andaeni timu yenu acheni kuhangaika na Yanga.

Mnatumia muda mwingi kujadili Yanga badala ya kujadili yanayowshusu halafu mje mseme tunanunua mechi kumbe mmewekeza kwenye majungu na umbea.
Tuliza mshono kwani Sisi ndiyo tumewatuma wapasuane?
 
Andaeni timu yenu acheni kuhangaika na Yanga.

Mnatumia muda mwingi kujadili Yanga badala ya kujadili yanayowshusu halafu mje mseme tunanunua mechi kumbe mmewekeza kwenye majungu na umbea.
Vp group stage?. Sisi ni kawaida nyie je. 24 years WAJINGA SN
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom