TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 9,748
- 26,238
Huku mkiwa na mwiko uliochomekwa nyuma na mbele mandongaMsipasuane nyinyi ambao mliitwa mbumbumbu na Aden Rage! Wapasuane Yanga wanaojielewa na kujitambua!!
Mtasubiri sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku mkiwa na mwiko uliochomekwa nyuma na mbele mandongaMsipasuane nyinyi ambao mliitwa mbumbumbu na Aden Rage! Wapasuane Yanga wanaojielewa na kujitambua!!
Mtasubiri sana.
Mind games kuelekea derbyTaarifa zilizopokea kwenye vyanzo vyangu ni kwamba Makocha wa Yanga wametofautiana mpaka kufikia kiwango cha kupigana.
Taarifa hizi nilizipuuza lakini kadri muda unavyosogea zinazidi kutolewa katika mitandao ya kijamii.
Bado haijathibitika sababu hasa za kupigana, hata hivyo inadhaniwa kuwa ni Nabi kukosa uvumilivu baada ya kufurumushwa Klabu Bigwa Afrika.
Hajawahi kumaliza msimu kwenye team yoyote ile hapa Tanzania ni bahasha ndo zilimsaidia ila ilikuwa hamna kitu pale Sudan hawamtaki hta kumuonaAwakupigana kabisa,Kaze alimuuliza jambo Nabi,Nabi kumbe alikua na hasira zake akamsukuma Kaze,Kaze nae hakukubali akataka kulipiza ndo watu wakawazuia wasiendelee kusukumana.
Nabi ni kocha wa hovyo anabebwa na ubora wa wachezaji ila mle kocha hamna.
Unakataa nini wakati Nabi na msaidizi wake wamepasuana. Wewe unaona Yanga malaika?Msipasuane nyinyi ambao mliitwa mbumbumbu na Aden Rage! Wapasuane Yanga wanaojielewa na kujitambua!!
Mtasubiri sana.
Kwa hiyo hii clip yako ya huyo mwendawazimu, ndiyo umeweka kama ushahidi wako wa kupasuana kwa Nabi na Kaze!!Unakataa nini wakati Nabi na msaidizi wake wamepasuana. Wewe unaona Yanga malaika?View attachment 2390926
🚮Huku mkiwa na mwiko uliochomekwa nyuma na mbele mandonga
Mnajitambua kwa lipi ? Kwani luc eymael alipowaita manyani, mambwa mnabweka bweka hovyo alikosea?Msipasuane nyinyi ambao mliitwa mbumbumbu na Aden Rage! Wapasuane Yanga wanaojielewa na kujitambua!!
Mtasubiri sana.
Maana yake huko hakuko shwari mumeshavurugwaKwa hiyo hii clip yako ya huyo mwendawazimu, ndiyo umeweka kama ushahidi wako wa kupasuana kwa Nabi na Kaze!!
Wanajitambua kwa kuwa na mwiko huko nyumaMnajitambua kwa lipi ? Kwani luc eymael alipowaita manyani, mambwa mnabweka bweka hovyo alikosea?
Au yule msukule aliposema uto wote wenye akili ni wawili tu ukimtoa mzee kikwete, mzee sunday manara na mama karume mliobaki wote hata muwe na PhD hamna akili?
Au morison alivyowambia siku ya mwananchi uto wengi hamjaenda shule
Wewe nae mjinga wa mwisho Huku jf ndio Kuna maandalizi ya team?ungerudishwa utotoni ulipaswa kula vyakula vinavyoongeza akili kidogo pengine ukoo wenu ni hamnazo.Andaeni timu yenu acheni kuhangaika na Yanga.
Mnatumia muda mwingi kujadili Yanga badala ya kujadili yanayowshusu halafu mje mseme tunanunua mechi kumbe mmewekeza kwenye majungu na umbea.
Kisa cha kupigana ni kwa vile Kaze aliongea na boss Nabi akalazimishwa kupanga kikosi cha Wakongo kwa 70% ya timu na pia kumuanzisha Morrison.Taarifa zilizopokea kwenye vyanzo vyangu ni kwamba Makocha wa Yanga wametofautiana mpaka kufikia kiwango cha kupigana.
Taarifa hizi nilizipuuza lakini kadri muda unavyosogea zinazidi kutolewa katika mitandao ya kijamii.
Bado haijathibitika sababu hasa za kupigana, hata hivyo inadhaniwa kuwa ni Nabi kukosa uvumilivu baada ya kufurumushwa Klabu Bigwa Afrika.
Yanga wote ni hamnazoWewe nae mjinga wa mwisho Huku jf ndio Kuna maandalizi ya team?ungerudishwa utotoni ulipaswa kula vyakula vinavyoongeza akili kidogo pengine ukoo wenu ni hamnazo.
Mpuuzi mwenyeweMakolo hebu acheni upuuzi kwa namna yoyote hamna nafasi ya kuivuruga Yanga kuelekea mexhi ya Jmos. Acheni propaganda andaeni timu yenu vizuri haya mambo sisi tushayaacha nyie bado mnayo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona walikuwa wanagombea ma..ma ya..ko? Kila mmoja alitaka awe wa kwanza kulala naye..Wewe nae mjinga wa mwisho Huku jf ndio Kuna maandalizi ya team?ungerudishwa utotoni ulipaswa kula vyakula vinavyoongeza akili kidogo pengine ukoo wenu ni hamnazo.
Mkuu huu ni wa 25 tayari na sio tena 24 ama unawa favor kidogo?Vp group stage?. Sisi ni kawaida nyie je. 24 years WAJINGA SN