fro me i can say my
experience mwenye kuchukia na achukie! hii kitu wengi huianza utotoni na
waanaanzishwa na watu wazima na akili zao kama ilivyotokea kwangu. mimi
nilifanyiwa nikiwa na umri wa miaka 9 kipindi hicho nilikuwa darasa la
kwanza mtu alieanza kunipumulia alikuwa ana more than 25 yrs old, sasa
sijui nini kilisababisha nikaja kuendelea maana yeye alinifanya zaidi ya
mwaka there after nikaa mpka nilipofika darasa la 5. nikiwa darasa la 5
mwalimu wangu wa kiume aligundua kuwa mm ninafanya hiyo mambo nadhani
ni kwasababu toka nilipofanyiwa nikiwa na miaka 9 nilianza kujitenga na
kutokaa na watoto wenzangu wa kiume sasa nadhani yeye kwakuwa alikuwa
basha mzoefu akagundua kuwa mimi nishakuwa pilau. akanitokea kwa
vizawadi na kunipa ofa ya kunifundisha somo la hesabu na English
nikakubali, kitendo cha mm kukubali ndo ikawa kwake rahisi kunirudisha
katika hayo mambo after 4 yrs kwa kweli bila kuongopa by that time ndio
alinitongoza ila mimi nilikuwa nina hamu sana maan fikiria mtu akupe
kitu kwa muda wa mwaka mmoja kisha ukae miaka 4 unadhani ile hamu
utakuwa hauna au utachukulia poa? sasa mwalimu huyo alikuwa akinipakuwa
mara moja moja kwa siri mpaka nilipo hitimu la 7. haikuishia hapo to
make long story short nielendelea kwa kuibaiba na wanaopenda hizo mambo
mpaka mwaka 2007 nilipomaliza secondary sasa hapo nadhani niliweza ata
kujua hiki ni nini. nilishajaribu mara kibao kuacha but inakuwa ngumu
mpaka nishakata tamaa! mpaka nikaomba msahada kwa doctor mmoja
akanishauri na kusema kama nimeshindwa kuacha basi niwe nafanya mara
moja moja nikachukuwa ushauri wake saa nafanya mara moja moja ata
ninapotaka ku m do girl wangu inabidi nipigwe na mtu huko then nikienda
kwa girl wangu cha moto huwa anakipata maana nakuwa na kasi kuliko
maelezo! so sijui wengine waanzaje but mi naona hii kitu kama kweli kuna
moto kama vitabu vinavyosema itanipeleka motono. and nipo tayari kwa
hilo sina jinsi. nilishajaribu adi kujiuwa nikalazwa mwananyamala
hospital siku 4!