Nini chanzo cha ushoga (uhanithi)?

Tupe uzoefu wako wewe ulianzaje kuwa shoga kwa maana umetudokeza tu kwamba huwa mnabana pua
 

inapotezea wanawake soko ee?
 

Pole sana kaka. Kwa kuwa hukupenda na unajitahidi kuacha naamini ipo siku utaishinda hiyo vita.
 
sababu ni nyng baadhi zkiwa ni za kibaiolojia, tamaa, makundi, kulawitiwa, nyngne sjui niiwekeje ila mfano jamaa mmoja aliezoeshwa kuwekwa kidole na mpenziwe kila anapokuwa anabanjuka alpozoea zaid ikawa ndo burudani yake.
 
Tupe uzoefu wako wewe ulianzaje kuwa shoga kwa maana umetudokeza tu kwamba huwa mnabana pua

kwangu umepotea mzee,niko vzq,nadindisha fresh,mpaka mama yako mdogo anaomba poo ktk mtanange pale kitandani,nimejaribu kutumia reflective language jins wanawake wanavyo fanyaga,na kui compare je kwa wanaume nao hufanya hivyo.? Wenye akili wamenielewa,ila kenge kma wew{sorry} nakuona ndo wakwanza kutoa uo utumbo.
 
sababu ni nyng baadhi zkiwa ni za kibaiolojia, tamaa, makundi, kulawitiwa, nyngne sjui niiwekeje ila mfano jamaa mmoja aliezoeshwa kuwekwa kidole na mpenziwe kila anapokuwa anabanjuka alpozoea zaid ikawa ndo burudani yake.

teh teh teh u made ma day..
 
DEVIL'S KINGDOM LUCIFER IS IN CONTROL, fear Almighty God you will be saved
 
Wengine ni umasikini + tamaa!
Wengine huingiwa na shetani (kibuki)!
Wengine hujaribu!
Wengine hubakwa!
Wengine ugumu wao wenyewe ndio huwapelekea hivyo!

Wewe umenichekesha. Shetani kibuki umemjulia wapi?
 
Wewe umenichekesha. Shetani kibuki umemjulia wapi?

....
Zenj town!
Hawa vibuki wabaya sana!
If u ke, akikuingia wa kiume, utasaga wange.se na ke wenzio! Akikuingia wa kike utaliwa kama Kuku!
....
If u me, akikuingia wa kiume, utawagonda thaana!
Akikuingia wa kike unaliwa manamba -0718!
....
Kwani wewe umewajua wapi?
 

Mi nawajulia huko huko Zenji. Na naskia kwenye hizo shughuli za ngoma zao wa.se.nge na wasagaji kibaaooo
 
Hv Tatizo La Ushoga Nini Chanzo? Je Ni Ugonjwa Ambapo Homon Za Kike Huwa Nyingi Kuliko Za Kiume? Kama Ni Hvy Ugonjwa Huo Upo Mijini Tu Vijijini Mbona Hawapo? Je Ni Tamaa Za Kupata Mali? Je Mbona Wengine Wanaoshiriki Vitendo Hvy Wanapesa Zao Mfano Sir.Elton? Na Kama Ni Tamaa Inamaana Vijijini Hawana Tamaa? Je Ni Globalization? Je Mbona Baadhi Ya Vijiji Vimekuwa Vikapata Habari Za Mataifa Mbali Mbali?? Mbona Hakuna Ushoga Huko? Jamani Ushoga Nini Chanzo???? Hebu Fungukeni Wadau Hapa Tuelimishane!!
 
Halafu Rejea Kuwa Nchi Jirani Hapa Afrika Mashariki Imepitisha Sheria Kali Sana Za Kupinga Ushoga, Imepata Msukomsuko Wa Hata Kufikia Kutishiwa Au Kunyimwa Misaada Toka Uingereza. Tanzania Nayao Inapinga Ushoga Lakini Haijapata Msuko Suko Kama Wa Wenzetu Ila Sisi Misaada Inatiririka Kama Kawa Kama Dawa. Je Ndo Kusema Sisi Tunapinga Kwa Mdomo Tu Lakini Hatuna Sheria Kali Kama Za Wenzetu? Au Sheria Zipo Lakini Hatuzitekelezi? Au Hao Mashoga Hapa Kwetu Hawapo? Au Hao Waingereza Wanaiogopa Tanzania Kuikabili? Au Hao Waingereza Wanaipendelea Tanzania? Hebu Mjadili Mkigusia Na Huko Sababu Za Tanzania Kutokuguswa Ilihali Nayo Ni Mpinga Ushoga Kama Hao Majirani Zetu Ambao Wao Wametiwa Jambajamba!!?
 

Kweli mwanamme mwenye goroli zako mbili na jembe lako la kulima unaweza kwenda mbele ya wanaume wenzio ukawaambia,"jamani tuujadili ushoga??? Mkuu napata wasiwasi,vipi umeonjeshwa au unataka kujaribishwa?? Acha kuwaza ushetani wewe!!! Waza vigori na style ya kuwanasa na kuwagegeda.
 
ulimwengu wa sasa ukiuliza swali anayejua anacheka....... Kad go. .... inakera kujua majibu na watu hawaulizi kitu ...mwana FA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…