SPANISH CP
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 465
- 230
Halafu Rejea Kuwa Nchi Jirani Hapa Afrika Mashariki Imepitisha Sheria Kali Sana Za Kupinga Ushoga, Imepata Msukomsuko Wa Hata Kufikia Kutishiwa Au Kunyimwa Misaada Toka Uingereza. Tanzania Nayao Inapinga Ushoga Lakini Haijapata Msuko Suko Kama Wa Wenzetu Ila Sisi Misaada Inatiririka Kama Kawa Kama Dawa. Je Ndo Kusema Sisi Tunapinga Kwa Mdomo Tu Lakini Hatuna Sheria Kali Kama Za Wenzetu? Au Sheria Zipo Lakini Hatuzitekelezi? Au Hao Mashoga Hapa Kwetu Hawapo? Au Hao Waingereza Wanaiogopa Tanzania Kuikabili? Au Hao Waingereza Wanaipendelea Tanzania? Hebu Mjadili Mkigusia Na Huko Sababu Za Tanzania Kutokuguswa Ilihali Nayo Ni Mpinga Ushoga Kama Hao Majirani Zetu Ambao Wao Wametiwa Jambajamba!!?
Hv Tatizo La Ushoga Nini Chanzo? Je Ni Ugonjwa Ambapo Homon Za Kike Huwa Nyingi Kuliko Za Kiume? Kama Ni Hvy Ugonjwa Huo Upo Mijini Tu Vijijini Mbona Hawapo? Je Ni Tamaa Za Kupata Mali? Je Mbona Wengine Wanaoshiriki Vitendo Hvy Wanapesa Zao Mfano Sir.Elton? Na Kama Ni Tamaa Inamaana Vijijini Hawana Tamaa? Je Ni Globalization? Je Mbona Baadhi Ya Vijiji Vimekuwa Vikapata Habari Za Mataifa Mbali Mbali?? Mbona Hakuna Ushoga Huko? Jamani Ushoga Nini Chanzo???? Hebu Fungukeni Wadau Hapa Tuelimishane!!
Namnukuu Papa anavyojitahidi kuwakalipia makasisi jinsi wanavyoendesha vitendo vya ulawiti makanisani.
Ushoga chanzo chake ni makanisani.
Ushahidi upo wazi mapadre mashoga yamejaa tele makanisani.
Sasa kama kiongozi wa dini analiwa kibogo wafuasi watafanyaje zaidi na wao kulana viboga.
Namnukuu Papa anavyojitahidi kuwakalipia makasisi jinsi wanavyoendesha vitendo vya ulawiti makanisani.
Ushoga chanzo chake ni makanisani.
Ushahidi upo wazi mapadre mashoga yamejaa tele makanisani.
Sasa kama kiongozi wa dini analiwa kibogo wafuasi watafanyaje zaidi na wao kulana viboga.
Namnukuu Papa anavyojitahidi kuwakalipia makasisi jinsi wanavyoendesha vitendo vya ulawiti makanisani.
Ushoga chanzo chake ni makanisani.
Ushahidi upo wazi mapadre mashoga yamejaa tele makanisani.
Sasa kama kiongozi wa dini analiwa kibogo wafuasi watafanyaje zaidi na wao kulana viboga.
chanzo ni ROMAN CATHOLIC
Ni tabia ya kishetani na kukosa hofu ya Mungu. Chanzo chake ni dhambi.
kwa hapa bongo ilishadadiwa sana maeneo ya pwani ikizingAtiwa concept ya kuhofia kupoteza ubikra Ilikuwa kubwa hivyo kuendekeza ushoga.
Ulaya publicity ni kubwa na kuna usiri mkubwa kwa nchi za kiarabu kiasi cha kuonyesha kuwa matendo hayo hufanyika na wazungu zaidi.
Watu Wa pwani wengi wakitaka kujifungua hawapendi kwenda hospital ambazo mambo yao yatadhihirika. Ukweli ni kwamba hujihusisha na usodoma.
siko kidini ila nakusapoti kwa hapa.. ingia usome HAPAchanzo ni ROMAN CATHOLIC
Mimi nasema 5% wameiga. 95% wamenajisiwa tangu watoto.Nimefanya utafiti kuhusu ushoga hivi karibuni kwa kizungumza na baadhi ya mashoga, madaktari, wasakolojia na wanasheria. Nimegundua kuwa kuna aina mbili ya hili tatizo; 1) over 95% wameiga tabia za ushoga kwa kifundishwa au life style na 2) 5% wamezaliwa wakiwa hivyo. Hata hivyo tatizo hilo linatibika kama mwathirika akiamua.
Mimi nasema 5% wameiga. 95% wamenajisiwa tangu watoto.
Namnukuu Papa anavyojitahidi kuwakalipia makasisi jinsi wanavyoendesha vitendo vya ulawiti makanisani.
Ushoga chanzo chake ni makanisani.
Ushahidi upo wazi mapadre mashoga yamejaa tele makanisani.
Sasa kama kiongozi wa dini analiwa kibogo wafuasi watafanyaje zaidi na wao kulana viboga.