Majibu mepesi sana kwa watu kama nyinyi ,hapa mada mmeshaichafua utaanza ubishi wa kidini.
Elimu ndogo..huwezi elewa swali.. ametoa mfano vijijini na mjini,masikini na tajili.. lakini wewe bogus husiye na elimu.. umesema kanisa.. ya wajinga ni wengi sana tanganyika..bogus
Hv Tatizo La Ushoga Nini Chanzo? Je Ni Ugonjwa Ambapo Homon Za Kike Huwa Nyingi Kuliko Za Kiume? Kama Ni Hvy Ugonjwa Huo Upo Mijini Tu Vijijini Mbona Hawapo? Je Ni Tamaa Za Kupata Mali? Je Mbona Wengine Wanaoshiriki Vitendo Hvy Wanapesa Zao Mfano Sir.Elton? Na Kama Ni Tamaa Inamaana Vijijini Hawana Tamaa? Je Ni Globalization? Je Mbona Baadhi Ya Vijiji Vimekuwa Vikapata Habari Za Mataifa Mbali Mbali?? Mbona Hakuna Ushoga Huko? Jamani Ushoga Nini Chanzo???? Hebu Fungukeni Wadau Hapa Tuelimishane!!