DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Majibu mepesi sana kwa watu kama nyinyi ,hapa mada mmeshaichafua utaanza ubishi wa kidini.
Kuna aina tatu tu za kujibu maswali.
1.SWALI KWA SWALI
2.SWALI KWA MKATO
3.SWALI KWA MAELEZO
NIMEJIBU KWA MKATO TU.