TUPACified
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 1,367
- 604
Nadhani ni sababu mbili kuu, kuna sababu za kibaolojia na kuna sababu zinazochangiwa na mazingira. Binafsi sina noma nao but i am too Christian and African to support anything about them.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
If gays are granted rights, next we'll have to give rights to prostitutes,followed by zoophiles and eventually pedophiles.....
Umetutolea mfano kuntu !!... vijiwe na makundi yasio na maana!!kinachosababisha mtoto wa kiume awe hivo ni makundi anayojihusisha nayo wanasema ukikaa na mwizi nawe utakuwa mwizi au japo vile vichembe chembe vya wizi pia vitakupata na kikubwa ni kumuomba Mungu mana dah kizazi kinaangama kwa kukosa maarifa.
they have rights in some countries.
criminals world wide...
Hiii inatokana na wazazi wao kula pilpil kwa wingi wakiwa na ujauzitooo kwa hiyo unashauriwa umwambie huyoo dada yako mwenye ujauzito apunguzee kula pilipl
kila mtu ana namna ambavyo angependa kuendesha mahusiano yake na kuyafurahia kama wew ungechagua juma na anna na mwinhine juma na juma au anna na anna wote mpo sahihi ni matumizi binafsi ya miili yenu na hisia zenu.
Sababu ni utamu
Mkuu unaweza ukawa hupendi kitu kwa sababu zako binafsi pengine za kidini au kijamii lakini hiyo haikupi haki ya kupinga kitu hicho kwa mtu mwingine sheria yetu mama ni katiba kama kitu hakipingwi na katiba tumuache mtu na uhuru wake.unasemaje wewe....!!!!!!!!
kwahiyo wewe unau"support ushoga????" acha ukilaza ww......!!!!
Mkuu unaweza ukawa hupendi kitu kwa sababu zako binafsi pengine za kidini au kijamii lakini hiyo haikupi haki ya kupinga kitu hicho kwa mtu mwingine sheria yetu mama ni katiba kama kitu hakipingwi na katiba tumuache mtu na uhuru wake.
naona umeni miss kweli
haya niambie unataka nini
Umetutolea mfano kuntu !!... vijiwe na makundi yasio na maana!!
Astakafillullah! Yani na wewe ni double line?!