Nini chanzo cha ushoga (uhanithi)?

Nini chanzo cha ushoga (uhanithi)?

Nadhani ni sababu mbili kuu, kuna sababu za kibaolojia na kuna sababu zinazochangiwa na mazingira. Binafsi sina noma nao but i am too Christian and African to support anything about them.
 
If gays are granted rights, next we'll have to give rights to prostitutes,followed by zoophiles and eventually pedophiles.....

they have rights in some countries.

criminals world wide...
 
kinachosababisha mtoto wa kiume awe hivo ni makundi anayojihusisha nayo wanasema ukikaa na mwizi nawe utakuwa mwizi au japo vile vichembe chembe vya wizi pia vitakupata na kikubwa ni kumuomba Mungu mana dah kizazi kinaangama kwa kukosa maarifa.
Umetutolea mfano kuntu !!... vijiwe na makundi yasio na maana!!
 
Hiii inatokana na wazazi wao kula pilpil kwa wingi wakiwa na ujauzitooo kwa hiyo unashauriwa umwambie huyoo dada yako mwenye ujauzito apunguzee kula pilipl

naona india kutakuwa na wengi sana kumbe
 
hata hapa mombasa tatizo hilo lipo, ila kwa harakaharaka nafikiri wagen kutoka mataifa ya ulaya wanachangia sana,hata hawa wahindi wanaoishi dar,nairobi,mombasa wengi wao ni mashoga
 
kila mtu ana namna ambavyo angependa kuendesha mahusiano yake na kuyafurahia kama wew ungechagua juma na anna na mwinhine juma na juma au anna na anna wote mpo sahihi ni matumizi binafsi ya miili yenu na hisia zenu.
 
kila mtu ana namna ambavyo angependa kuendesha mahusiano yake na kuyafurahia kama wew ungechagua juma na anna na mwinhine juma na juma au anna na anna wote mpo sahihi ni matumizi binafsi ya miili yenu na hisia zenu.

unasemaje wewe....!!!!!!!!
kwahiyo wewe unau"support ushoga????" acha ukilaza ww......!!!!
 
unasemaje wewe....!!!!!!!!
kwahiyo wewe unau"support ushoga????" acha ukilaza ww......!!!!
Mkuu unaweza ukawa hupendi kitu kwa sababu zako binafsi pengine za kidini au kijamii lakini hiyo haikupi haki ya kupinga kitu hicho kwa mtu mwingine sheria yetu mama ni katiba kama kitu hakipingwi na katiba tumuache mtu na uhuru wake.
 
MO11 unahitajika hukuuuu!
 
Last edited by a moderator:
nasikia haka kamchezo ukianza kupakuliwa unazoea tena inafika kipindi unataka mwenyewe,sasa hua najiuliza hivi hii nayo ni addiction??

Na wanaotetea me sijui niwaelewaje??mungu kakuumba na tundu dogo!tena linafunga na kufunguka,wewe unaruhusu watu wachimbee,matokeo yake linakua kama bakuli..ndo mwanzo wa kunuka mavi kama choo
 
Mkuu unaweza ukawa hupendi kitu kwa sababu zako binafsi pengine za kidini au kijamii lakini hiyo haikupi haki ya kupinga kitu hicho kwa mtu mwingine sheria yetu mama ni katiba kama kitu hakipingwi na katiba tumuache mtu na uhuru wake.

Unamaana katiba ya tz inaruhusu ushoga? Je nikifungu gani hicho?
 
Mmi,ninefanya tafiti sana juu ya chanzo cha ushoga kwa wanaume lakini mpaka ssa hivi hakuna ushaidi wa kisayansi kwamba mtu anazaliwa na hali hiyo ila nitabia2 mtu Inatengenezwa na lifestyle ya Jamii inayomzunguka,nikimaliza research nitatoa kitabu changu watu wajue namna ya kulea watoto wao wa kiume iliwasijekuwa mashoga,coz hiyo hali ni psychology problems!!
 
Back
Top Bottom