Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,540
- Thread starter
-
- #101
Hakuna correlation yoyote. Wanaoagiza sukari kutoka nje wanaweza kufanya hivyo iwapo tu sukari ya ndani ni bei kubwa kuliko sukari kutoka nje.
Hilo ni suala la Afya na quality control. Kwanini ulalamikie sukari wakati vitu vingi vyenye kutoka nje vina quality mbaya?
Mfano mwingine, yale mafuta ya Korie yalikuwa bei ndogo kuliko hata Kimbo kutoka Kenya. Sasa jiulize iweje tuende kuagiza mafuta inferior ya Korie, tukitukana Voil na Tanbond yake na hata kuwakwepa kina Blue Band na Kimbo?
__________________
Rev. Kishoka,
Kwa sababu mafuta ya Korie yalikuwa na high level ya cholesterol.. cheap na kama ujuavyo mafuta mazito ndio mapenzi ya Mdanganyika! Ingwezekana basi hata Diesel tungepikia chakula..
Zakumi,
Kuna mtu kaleta hiyo theory ya kumpindua Nyerere 1981 kushindwa, nami nikaoanisha na barua ya Luteni Maganga aliyeandika kwa nini walitaka kupindua nchi.
Naelewa kwa maelezo yako kuwa kutokana na hali halisi, hapakuwa na haja wala kwa jeshi kuiua buti kupindua, maji yalishazama na Nyerere alikuwa hana ujanja mwingine.
hivyo hakunwa na jingine bali kuachia ngazi.
Nchi ilikuwa ndani ya madeni na aliona uasi wa ndani ya chama na serikali
Nimeoanisha matukio ya nyakati zote na hili la kupindua, silifumbii macho hasa nikifikiria kuwa kama waliotaka kupindua nchi ili kufungua milango ya kibiashara na uchumi walikuwa ni wafanyabiashara, hivyo Ulanguzi kutokana na kuhodhi mali kulikosababisha ukosefu wa bidhaa kuonekana kuwa ni kero basi ni kitu ambacho hatuwezi kukipuuzia.
Kama dhana hii ni kweli, basi Uhujumu uchumi lengo lake lilikuwa ni kupindua Serikali na kumng;oa Nyerere madarakani na si kuking'oa CCM!
Rev Kishoka:
Hivi leo akitokea mtu na akisema sub-prime mortagage crisis ilikuwa na nia ya kuupindua ubepari, itabidi tumpe masikio?
Over-deregulation ina matatizo yake katika uchumi kama vile tunavyoona sasa hapa US.
Over-regulation nayo ina matatizo yake, kama yale yaliotokea Tanzania au katika nchi za kikomunisti. For God sake, Poland watu walikuwa wanapanga foleni kwa ajili ya mkate, kwanini sisi tufikiri matatizo yetu yalikuwa na external influence sio mapungufu ya siasa zenyewe?
Umekubali sukari iingizwe kutoka nchi; unakubali kuhujumu soko la ndani kwa kuleta bidhaa za kiwango duni kutoka nje!
Tena unatetea huo uhujumu uchumi kwa kwenda mbali zaidi na kuandika kuwa suala la Afya na kuquality control na unataka uliexclude na uhujumu uchumi. Hapana ndugu. Uhujumu ni uhujumu tu, ukiihujumu quality control unahujumu afya inturn unadidimiza human resources as a consequence unapunguza uzalishaji na hivyo kupunguza GDP.
Hapo hapo umeridhika kuwa kama sukari ina kiwango duni, it is okay ikiingizwa na kuuzwa nchini kwa bei nafuu kwa vile tu na bidhaa nyingine zina quality mbaya! Je kwa nini tusinunue bidhaa zinazozalishwa nchini ambazo zina kiwango cha juu na bei ya juu ?
Zakumi hii yote ni uhujumu uchumi, direct and indirect. Wanayoyaandika hapa Mkandara na Rev ni ukweli na ni ukweli mtupu.
Fake goods cause 4trn/- loss to Tanzania‏
SOSTHENES MWITA
Daily News; Sunday,December 28, 2008 @20:00
COUNTERFEIT guitar.
Counterfeit and substandard industrial products continued to flood the Tanzania's domestic market in the year 2008, causing a revenue collection stink. In fact, the year saw illegally manufactured, fake and substandard products increase from about 35 to 40 per cent of all goods in the local market. A report prepared by the Confederation of Tanzania Industries (CTI) during the year says that Tanzania, like any other nation around the world, suffers enormously from the adverse effects of the flooding of counterfeit and substandard products.
Invariably, the impact of counterfeit and substandard goods hurts the economy occasioning dwindling government revenues. The government, for example, loses between 540 and 900 billion shillings per year due to tax evasions that are related to counterfeit and substandard goods, the CTI says.
In the year 2008 the government may have lost an estimated four trillion shillings due to the prevalence of counterfeit goods in the domestic market. Fake industrial equipment and raw materials generated a loss of 1,000bn/-; vehicle spare parts (800bn/-); agriculture inputs (600bn/-) and chemicals (400bn/-).
More revenue was also lost due to the presence of fake pharmaceuticals (400bn/-); building materials (320bn/-); textiles and clothes (240bn/-); food and beverages (200bn/-) alcohol and drinking water (200bn/-). This brought the total loss to 3,160bn/-, but this is a mere tip of the iceberg, the CTI says.
The goods also compound health problems (fake medical drugs and foods); hurts businesses and consumers and complicates project implementation for government departments. The presence of fake medical drugs and foods is an annoyance to the entire society as it touches nearly everyone.
Equally repugnant is the heavy presence of fake television and radio sets; satellite dishes and signal receivers; computers, watches, mobile phones, domestic and industrial fans and an array of domestic appliances including substandard electrical cookers, refrigerators, washing machines, irons and shavers. A residential house in Kigamboni went up in flames during the year when an imitation (fake) circuit breaker failed to control an upsurge in electricity.
The market is flooded with equally bad main electrical switches, electrical cables, power extension cords, power stabilizers, sockets, plugs and junction boxes. Counterfeit products are goods that are unauthorized imitations of branded items intended to be passed off for an original with the purpose of defrauding or deceiving the consumer of the said item into believing that it is the original product.
A counterfeiter causes the owner of the brand name to effectively lose a customer by misleading the customer into purchasing a counterfeit item (which is substandard in most cases) in the belief that he is purchasing the genuine article.
Counterfeiting covers manufacturing, producing, packaging, repackaging and labelling. It involves making of any goods whereby those protected genuine goods are imitated in such manner that those other goods (counterfeits) are identical or substantially similar copies of the protected goods.
"Counterfeit goods" or "pirated goods" or "offending goods" are in many cases used interchangeably and they mean goods that are the result of counterfeiting or piracy. Counterfeit products occur when the intellectual property rights (IPR) has been stolen. In other words, counterfeiting is stealing, the CTI says.
"It is theft that needs concerted efforts by governments and the international community to reduce or eliminate. On the other hand, counterfeits are substantially substandard products which fail to meet requirements of the relevant standard when tested using appropriate test methods."
In Tanzania, the issue of rampant counterfeits and substandard goods is a recent phenomenon. People have started to question whether Tanzania has been turned into a dumping ground for sub-standard goods or counterfeits and want to know what is being done to arrest the situation.
The main entry points for fake goods on the Mainland are Dar es Salaam, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Tanga and Mwanza. In Zanzibar, counterfeit and substandard goods filter in through Pemba and Zanzibar ports and the largely porous seashore approach.
Counterfeit products originate mainly from Asian countries including China, India, United Arab Emirates (Dubai), Indonesia, Taiwan, Singapore, Pakistan, Hong Kong, South Korea, Bahrain, Malaysia, Burma and Thailand. Chile, a South American country, also harbours notorious counterfeiters. There are some African countries also in the list.
They include Kenya, South Africa, Mozambique, Malawi, Zambia and surprisingly, Tanzania. Some products that are manufactured in Tanzania are imitated overseas. Tanzanian high quality khangas, for example, have cheap copies coming in from India. Tanzania has a highly porous border that has little surveillance.
Apart from Tanga harbour, Horohoro, Sirari, Mtukula and Tunduma border that have on-site regulatory officials, the Tanga coastal line (about 60 kilometers long) has 17 landing sites that handle mostly unofficially declared small cargo. Some of the cargo may be counterfeits and substandard.
There are many other landing sites along the Indian Ocean that cater for small cargo. They include Kisiju (Coast region), Boko (Dar es Salaam) and Bagamoyo. Border posts such as Horohoro, Namanga, Holili, Tarakea, Songwe and Tunduma have law enforcement authorities, but they lack expertise for identifying counterfeits.
Porous borders with Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC, Zambia, Malawi and Mozambique are entries for smugglers of fake goods. The ability of state institutions to police or regulate the conduct of persons living in such areas or using such routes is limited. Further, any goods actually impounded can still enter the market due to corruption which is on a wider scale in Tanzania, the CTI report says.
The most widely distributed counterfeit or substandard goods in Tanzania include hand-hoes condoms, toothpaste and used tyres (from China); mosquito coils (from Indonesia, Singapore and the UAE); razor blades, salt, corn oil, engine oil, Aerosol, brake fluids and toothbrushes (from UAE).
The offending goods also include toilet soap, detergents, absorbents, cotton wool, surgical cotton gauze, safety matches, jute bags, condoms, Topaz razor blades (from India). Counterfeit products that confounded law enforcement agencies included fake foreign and local banknotes.
Other counterfeit goods widely available in the local market include mineral water, tomato paste and wheat flour (from Italy); gasoil (from Bahrain); Tomato paste (from Oman); Condoms (from South Africa), according a report by the Tanzania Bureau of Standards (TBS).
Fake industrial equipment and raw materials that are readily available in the domestic market include motor vehicle spare parts, agricultural inputs, industrial and domestic chemicals, pharmaceuticals, building materials, textiles and clothes, food and beverages, alcohol and bottled drinking water. The influx of counterfeit or substandard goods cause huge losses in government revenue and frustrate employment opportunities; profitability and the performance of the manufacturing industry.
They are a dangerous health hazard for; they often cause diseases and deaths. The phenomenon also intensifies poverty and its manifestations such as infant and maternal mortality. Greedy people who deal in fake products are involved in high risk business. They are criminals who are highly organized. They, invariably, operate clandestinely or under cover.
There are world spots which specialize in the manufacture of counterfeits and substandard goods aimed for countries where anti-counterfeits regulations are either weak or are not enforced effectively like the case in Tanzania.
The country is increasingly becoming victim to counterfeiters. To be able to address this anarchy, the government needs to formulate and implement an implementable course of action, the CTI says. Such action should include creating public awareness about the seriousness and scale of the problem.
The local market should be able to reject such products. There is therefore a need to have sensitization (and capacity building) programme which will particularly focus on training and on advocacy to enable consumers understand the hazards of these products and be able to reject them.
While sensitization programmes are an on-going exercise, there is an urgent need for the government (ministries, regulatory institutions, etc) to train large numbers of experts who can be allocated in different ministries and particularly regulatory authorities to deal with the problem.
Tanzania's punishment for infringement is weak as a deterrent. The magnitude of the punishment needs to be scaled up. People who trade in counterfeits are more or less rich organized criminals who make huge profits, which they then use to interfere with anti-counterfeits laws and regulations.
More powers should be given to inspectors than there are currently in the Act to enable them to track the counterfeits through the whole supply chain. In its efforts to curb the entry of fake products in the local market, TBS conducts surprise market surveillances. Business people found selling sub-standard products are dealt with accordingly.
Another step is the opening of offices at border points and certifying products in their original countries to make sure that all products abide by respective Tanzania or international specifications before they enter the local market.
Zakumi,
hapo mkuu umenipa habari safiii..
Tatizo la Zimbabwe kutokuwa na vitu madukani sio swala la kutafuta solution based on demand na supply, hata kama kesho ukijaza vitu madukani haiwezi kusaidia kwa sababu mfumo mzima wa Mugabe kuhusiana na ugawaji ni mbovu..
Tanzania, South Afrika na nchi kibao tunapeleka vitu huko lakini hutuwezi kusaidia kitu kurudisha balance hali ya nchi hiyo ikiwa kuna kundi la watu kina Mugabe wana grab everything for themselves na kudai kwamba hakuna shida... Mugabe ni jizi na jambazi is the problem sio swala la demand and supply na kama kuna crackdown then he has to go!Usitake kusingizia vitu kuwa ndio problem. Ukimwondoa Mugabe mengine yatajipanga tu lakini kama Mugabe atabakia pale hakuna kitu kitajengeka.
Mama:
Naona umebobea kwenye sayansi au mathematics. Watu wenye sifa zenu precision ni kitu muhimu sana. Kwenu nyinyi 2+2 = 4.
Lakini hapa tuna-deal na maendeleo ya binadamu, uchumi na mabadiliko ya kidunia, hivyo kwangu mimi 2+2 = 6 is perfectly legal. Kinachotakiwa ni usahihi wa kutafsiri jibu langu.
Nchi zote zinakabiliwa na counterfeit. Unaweza kuuziwa Rolex ambayo sio Rolex na bado uchumi au maendeleo ya jamii yakaendelea kudunda.
Nyie mnaotaka mazingira perfect kwa maendeleo ya uchumi, you won't get it.
Zakumi,
Katika Security intelligence spectrum, kilichotokoea Marekani ni suala la usalama wa taifa. Kuanguka kwa uchumi ni suala la usalama wa taifa hata kama si lazima apinduliwe mtu.
Jiulize ikiwa ulafi na uroho wa watu unajulikana na unatumika kama chambo na maadui kuangamiza Taifa, kuna shida gani basi kutokea mazingaombwe na hivyo uchumi wa nchi kuanguka?
Ikiwa China, Russia, India, Brazil na EU wanapigania kuwa na sauti kubwa kiuchumi, kisha wakatumia uroho wa Wamarekani na udhaifu wao wa kuwajibika katika kuwa na sheria kali, je si rahisi kuangamiza uchumi kwa kuwa na mipango mibovu ya kiuchumi ambayo huweza kutoa kipigo cha ajabu?
Je umesahau kisa cha Sovieti kuanguka chali pamoja na Ujamaa mbuzi ilikuwa ni mshindano ya silaha yaliyowekwa kama kiini macho na Reagan na kina Brezhnev wakakimbilia kuweka pesa zote kujenga silaha zinazopepea badala ya kujenga uchumi ndani ya nchi?
Uhujumu bwana Zakumi una sura nyingi sana na si siri kuna Wamarekani wanaoanza kuhoji na kujiuliza hivi kama Madevu Osama na ukichaa wake angeamua kuangusha uchumi na si kuua watu ingekuwaje?
Yesm it may be a conspiracy theory, however there are too many key facts that when are tied and woven together, ,they demonstrate a colusion or consipiracy to sabotage economy and country.
Je ni vigumu kuamini kuwa uhujumu uchumi was classic method ya kupindua Serikali kuliko mtutu wa bunduki?
Angalia outcome yake, maduka yakashehena na bidhaa za kuagiza, tukaanza kukopa hovyo na kutumia hovyo, tukashusha thamani ya sarafu, tukaanza mipango kibao ya kurutubisha uchumi kupitia IMF, tukamalizia na kufungua milango kwa wawekezaji.
Sasa tujiulize, miaka 23 baada ya Nyerere kukimbiza ubawa, je tumefaidika vipi kiuchumi na huu mfumo mpya ambao kwangu mimi mjamaa naona kuwa nusu yake ni nguvu za uhujumu uchumi?
Hahahahaaaa, kazi ipo lol!
Kwa kauli hizi nisishangai kwa nini hatuendelei na kamwe hatutaendelea.
Huyo ecomomists gani asiyetumia hesabu ? Huwezi kuproject human development na kuondoa uhujumu uchumi and the sort kama hujiweki katika kutafuta mean ambayo lazima iwe na standard deviation au standard error.
Wewe hii unaikataa kabisaa na ndio maana unaona sawa 2+2=6! Nitamulewa anayeona kwake ni legally correct 2+2= 4.5 more or less.
Kwa hiyo kumbe discussion yote ni bora liende, haina nia ya kuweka bayana tatizo na kutafuta suluhu. Bali ni simulizi na mahenga wetu. Mambo ya kufikirika, ndoto za alinacha.
Tanzania Tanzania yangu. Hufikiri na kudhani kuwa mabadiliko na Tanzania yenye neema na mendeleo kwa watu wake wote yanawezekana kwa kubadili uongozi. Uongozi kama ndio staili hii....hakuna kitu. Wizi mtupuuuuuuu!!!!!!!!!!!
. Naona wewe umekosea tu. Technically mpaka sasa sijasema + ni operation gani katika mlinganyo niliotolea mfano. Kuna uwezekano mkubwa kuwa operation yangu ilikuwa na maana kuwa operand ya kwanza plus 1 kujumlisha operand ya pili plus 1 = 6.
.
wizi mtupu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!