Nini dawa ya mke mwenye wivu uliopitiliza na kununa nuna?

Nini dawa ya mke mwenye wivu uliopitiliza na kununa nuna?

Nathan Jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2017
Posts
1,437
Reaction score
1,883
Asee asee Nina changamoto moja,
Mimi nimeoa mwanamke, kabila ni muhaya,

Mwanzoni kumpata alinisumbua sana nikasema basi, nimemfuatilia kwa miezi kadhaa,.lakin baada ya kumpata ni kama nimejitia kufuri

Ana matatizo yafuatayo
1.wivu uliopitiliza, simu hata nikipigiwa ya kazi anataka ajue ni nani,
Nikikaa sofa tofaut na yeye nikaanza kuchat , ameshasogea,
Bahati mbaya Nina boss wangu ni mdada mdogo mdogo,.kila ikipangwa tripu ya kazi ye ndo anani supervise, basi hapo matatizo matupu,
Anataka ajue mpaka kazini marafiki zangu wa kike ni akina nani,

Jana kaingia kwenye simu yangu, kwenye DP moja ya whatsapp number kaona mtoto mkali sana ni muhasibu wetu,
Akaanza kujisemesha eti, unaona mbaba huyu kaweka mke wake mzuri.kwa whatsapp yake, nikakaa kinya, akachukua namba kaichek jina kwa njia ya M-PESA, kakuta ni msichana, sasa kasema naomba kufika asubuhi nusiikute namba hii humu kwenye simu yako, ni hatari aisee

Tatizo la pili ananuna sana yaan anaweza akanuna kwa kosa dogo mpaka nikaogopa akauchuna siku tatu, lakin majukum mengine anatimiza anapika anapakua anafua , ila haniongeleshi,

Wataalamu wa kisaikolojia naomba ushauri nifanyeje apunguze mambo hayo,??
 
hahaha just hahaha!!
SIKUCHEKI ILA NAFURAHI PEKE YANGU.
ukifanikiwa kupata ushauri mzuri na ukawa tayari kuutumia tena kwakujiamini basi ujiandae kuachana nae.

kwa uzoefu wangu, Huyo anakuigizia akulete kwenye 18 zake mwisho wa siku uwe msukule wake yaani anataka kupindua ndoa wewe uwe mke yeye awe mume.

anzia hapa hapa kua ndio kushtuka kwako na kataa kuwa mtegemea HISIA ZAKE yaani akicheka nawewe ucheke akinuna basi na wewe ukose furaha.
kama ana simu bila shaka mara nyingi utakuta DP zake ni vijipicha vya vilivyoandikwa maneno maneno ya uswahili.

ukiweza mpuuze yaani hata ikieleekea kuwa ugomvi, gombana pale anapopelekea kukuvunjia heshima kwa watu wako muhim hasa kikazi.

pia yarudierudie yale yote yanayomkera ilhali wewe uko sahihi, kama unawasiliana issue za kazi na madem endelea tena ukiweza watafute watakaoweza kuekti ili wawe wanakupigia simu daily na akiwatukana wao wasipaniki mwisho wa siku atajiona yeye ni boya flani hivi wa mtukula!

tumia email kwenye mawasiliano yako ya maandishi mara nyingi madem wa hivyo huwa washamba wao wanaamini mapenzi ni kwenye social network na sms tuu.

pendelea kupiga picha na madem wakali wakali na wenye hadhi,
ila kubwa kuliko akinuna na wewe nuna, na akimaliza kununa wewe endelea kununa huku huduma za mezani na nyinginezo ukiendelea nazo kama kawaida yaani hata kama ni kuchapana jikeshe kidogo tuu ukimaliza endelea kununa maana najua atanuna tena ila wewe kaza, hapo asipokuomba poo! basi anajiandaa kufungasha maana ataanza kuleta mgomo wa penzi usimuombe wala kumbembeleza yakikuzidi piga hata nyeto bila yeye kujua, asipoomba poo jiandae kumuaga tuu!

"neno tuu sio sheria"
 
hahaha just hahaha!!
SIKUCHEKI ILA NAFURAHI PEKE YANGU.
ukifanikiwa kupata ushauri mzuri na ukawa tayari kuutumia tena kwakujiamini basi ujiandae kuachana nae.

kwa uzoefu wangu, Huyo anakuigizia akulete kwenye 18 zake mwisho wa siku uwe msukule wake yaani anataka kupindua ndoa wewe uwe mke yeye awe mume.

anzia hapa hapa kua ndio kushtuka kwako na kataa kuwa mtegemea HISIA ZAKE yaani akicheka nawewe ucheke akinuna basi na wewe ukose furaha.
kama ana simu bila shaka mara nyingi utakuta DP zake ni vijipicha vya vilivyoandikwa maneno maneno ya uswahili.

ukiweza mpuuze yaani hata ikieleekea kuwa ugomvi, gombana pale anapopelekea kukuvunjia heshima kwa watu wako muhim hasa kikazi.

pia yarudierudie yale yote yanayomkera ilhali wewe uko sahihi, kama unawasiliana issue za kazi na madem endelea tena ukiweza watafute watakaoweza kuekti ili wawe wanakupigia simu daily na akiwatukana wao wasipaniki mwisho wa siku atajiona yeye ni boya flani hivi wa mtukula!

tumia email kwenye mawasiliano yako ya maandishi mara nyingi madem wa hivyo huwa washamba wao wanaamini mapenzi ni kwenye social network na sms tuu.

pendelea kupiga picha na madem wakali wakali na wenye hadhi,
ila kubwa kuliko akinuna na wewe nuna, na akimaliza kununa wewe endelea kununa huku huduma za mezani na nyinginezo ukiendelea nazo kama kawaida yaani hata kama ni kuchapana jikeshe kidogo tuu ukimaliza endelea kununa maana najua atanuna tena ila wewe kaza, hapo asipokuomba poo! basi anajiandaa kufungasha maana ataanza kuleta mgomo wa penzi usimuombe wala kumbembeleza yakikuzidi piga hata nyeto bila yeye kujua, asipoomba poo jiandae kumuaga tuu!

"neno tuu sio sheria"
Duh hii nimeupenda
 
hahaha just hahaha!!
SIKUCHEKI ILA NAFURAHI PEKE YANGU.
ukifanikiwa kupata ushauri mzuri na ukawa tayari kuutumia tena kwakujiamini basi ujiandae kuachana nae.

kwa uzoefu wangu, Huyo anakuigizia akulete kwenye 18 zake mwisho wa siku uwe msukule wake yaani anataka kupindua ndoa wewe uwe mke yeye awe mume.

anzia hapa hapa kua ndio kushtuka kwako na kataa kuwa mtegemea HISIA ZAKE yaani akicheka nawewe ucheke akinuna basi na wewe ukose furaha.
kama ana simu bila shaka mara nyingi utakuta DP zake ni vijipicha vya vilivyoandikwa maneno maneno ya uswahili.

ukiweza mpuuze yaani hata ikieleekea kuwa ugomvi, gombana pale anapopelekea kukuvunjia heshima kwa watu wako muhim hasa kikazi.

pia yarudierudie yale yote yanayomkera ilhali wewe uko sahihi, kama unawasiliana issue za kazi na madem endelea tena ukiweza watafute watakaoweza kuekti ili wawe wanakupigia simu daily na akiwatukana wao wasipaniki mwisho wa siku atajiona yeye ni boya flani hivi wa mtukula!

tumia email kwenye mawasiliano yako ya maandishi mara nyingi madem wa hivyo huwa washamba wao wanaamini mapenzi ni kwenye social network na sms tuu.

pendelea kupiga picha na madem wakali wakali na wenye hadhi,
ila kubwa kuliko akinuna na wewe nuna, na akimaliza kununa wewe endelea kununa huku huduma za mezani na nyinginezo ukiendelea nazo kama kawaida yaani hata kama ni kuchapana jikeshe kidogo tuu ukimaliza endelea kununa maana najua atanuna tena ila wewe kaza, hapo asipokuomba poo! basi anajiandaa kufungasha maana ataanza kuleta mgomo wa penzi usimuombe wala kumbembeleza yakikuzidi piga hata nyeto bila yeye kujua, asipoomba poo jiandae kumuaga tuu!

"neno tuu sio sheria"


naunga mkono hojaa
 
Back
Top Bottom