Nini dawa ya mke mwenye wivu uliopitiliza na kununa nuna?

Nini dawa ya mke mwenye wivu uliopitiliza na kununa nuna?

Hahahaa, hapo mbona hakuna tatizo. Ndoa yenu bado changa ndo maana, ngoja azae hayo yatapungua na pengine kuisha kabisa maana watoto watamkeep bize. Kama kuna mfanyakazi basi panga kumwondoa ili mkeo awe bize akirudi home. Wewe pia punguza kuchat ukiwa nyumbani hasa na jinsia za ke.
Wanawake automatic akute umeconcentrate kwenye simu hata kama unasoma stori lazima avimbe,wanawaza kuibiwa tu!
 
hahaha just hahaha!!
SIKUCHEKI ILA NAFURAHI PEKE YANGU.
ukifanikiwa kupata ushauri mzuri na ukawa tayari kuutumia tena kwakujiamini basi ujiandae kuachana nae.

kwa uzoefu wangu, Huyo anakuigizia akulete kwenye 18 zake mwisho wa siku uwe msukule wake yaani anataka kupindua ndoa wewe uwe mke yeye awe mume.

anzia hapa hapa kua ndio kushtuka kwako na kataa kuwa mtegemea HISIA ZAKE yaani akicheka nawewe ucheke akinuna basi na wewe ukose furaha.
kama ana simu bila shaka mara nyingi utakuta DP zake ni vijipicha vya vilivyoandikwa maneno maneno ya uswahili.

ukiweza mpuuze yaani hata ikieleekea kuwa ugomvi, gombana pale anapopelekea kukuvunjia heshima kwa watu wako muhim hasa kikazi.

pia yarudierudie yale yote yanayomkera ilhali wewe uko sahihi, kama unawasiliana issue za kazi na madem endelea tena ukiweza watafute watakaoweza kuekti ili wawe wanakupigia simu daily na akiwatukana wao wasipaniki mwisho wa siku atajiona yeye ni boya flani hivi wa mtukula!

tumia email kwenye mawasiliano yako ya maandishi mara nyingi madem wa hivyo huwa washamba wao wanaamini mapenzi ni kwenye social network na sms tuu.

pendelea kupiga picha na madem wakali wakali na wenye hadhi,
ila kubwa kuliko akinuna na wewe nuna, na akimaliza kununa wewe endelea kununa huku huduma za mezani na nyinginezo ukiendelea nazo kama kawaida yaani hata kama ni kuchapana jikeshe kidogo tuu ukimaliza endelea kununa maana najua atanuna tena ila wewe kaza, hapo asipokuomba poo! basi anajiandaa kufungasha maana ataanza kuleta mgomo wa penzi usimuombe wala kumbembeleza yakikuzidi piga hata nyeto bila yeye kujua, asipoomba poo jiandae kumuaga tuu!

"neno tuu sio sheria"
Chukua huu ushauri haraka sana
 
Pole sana...

Nadhani hizo tabia ulikua unazifahamu toka unamfukuzia, ila ukajipa imani ukioa atatulia/kubadilika...

Tabia ni kama ngozi, sasa unaona kero... pambane nae hivyo hivyo kimya kimya...


Cc: mahondaw
 
hahaha just hahaha!!
SIKUCHEKI ILA NAFURAHI PEKE YANGU.
ukifanikiwa kupata ushauri mzuri na ukawa tayari kuutumia tena kwakujiamini basi ujiandae kuachana nae.

kwa uzoefu wangu, Huyo anakuigizia akulete kwenye 18 zake mwisho wa siku uwe msukule wake yaani anataka kupindua ndoa wewe uwe mke yeye awe mume.

anzia hapa hapa kua ndio kushtuka kwako na kataa kuwa mtegemea HISIA ZAKE yaani akicheka nawewe ucheke akinuna basi na wewe ukose furaha.
kama ana simu bila shaka mara nyingi utakuta DP zake ni vijipicha vya vilivyoandikwa maneno maneno ya uswahili.

ukiweza mpuuze yaani hata ikieleekea kuwa ugomvi, gombana pale anapopelekea kukuvunjia heshima kwa watu wako muhim hasa kikazi.

pia yarudierudie yale yote yanayomkera ilhali wewe uko sahihi, kama unawasiliana issue za kazi na madem endelea tena ukiweza watafute watakaoweza kuekti ili wawe wanakupigia simu daily na akiwatukana wao wasipaniki mwisho wa siku atajiona yeye ni boya flani hivi wa mtukula!

tumia email kwenye mawasiliano yako ya maandishi mara nyingi madem wa hivyo huwa washamba wao wanaamini mapenzi ni kwenye social network na sms tuu.

pendelea kupiga picha na madem wakali wakali na wenye hadhi,
ila kubwa kuliko akinuna na wewe nuna, na akimaliza kununa wewe endelea kununa huku huduma za mezani na nyinginezo ukiendelea nazo kama kawaida yaani hata kama ni kuchapana jikeshe kidogo tuu ukimaliza endelea kununa maana najua atanuna tena ila wewe kaza, hapo asipokuomba poo! basi anajiandaa kufungasha maana ataanza kuleta mgomo wa penzi usimuombe wala kumbembeleza yakikuzidi piga hata nyeto bila yeye kujua, asipoomba poo jiandae kumuaga tuu!

"neno tuu sio sheria"
Uko sawa kabisa mkuu
 
Pole sana...

Nadhani hizo tabia ulikua unazifahamu toka unamfukuzia, ila ukajipa imani ukioa atatulia/kubadilika...

Tabia ni kama ngozi, sasa unaona kero... pambane nae hivyo hivyo kimya kimya...


Cc: mahondaw
Mh
 
inaonesha hujawahi kukaa nae na kumpa makavu juu ya hilo swala......muulize kwa nn hakuami na ufanye nn ili akuamini....kama hana sababu ya maana bs mpige stop vitendo vya ajabu ajabu asije kukupotezea kibarua chako
 
Fanya hivyo utaleta mrejesho, unaweza muhukumu bure ila hata yeye anajishangaa kwa vile anavyokupenda sana hadi anapitiliza.
Nishaghaili sasa,sikujua kama utafika huku[emoji15] [emoji15] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Aisee hivi kumbe bado kuna wanaume mnaruhusu wake zenu kushika simu zenu,jamani haki sawa ni msemo tu,utandawazi usiwapumbaze,hao wazungu tunaowaiga ndio wanaongoza kwenda mahakamani kudai talaka....kimsingi mume inatakiwa um-control mke,nashangaa sana unamrusu mkeo kupekua simu yako are you serious????,weka mipaka kwenye simu yako asiiguse,hiyo ni amri akatae au akubali hilo lipitishe,ndio wenzio tunavyoishi siku hizi na hawa wake zetu,tulijaribu kufanya democrasia ikatushinda....
 
Mzee baba huyo...kimeo achana nae, atakuaribia mwisho wa siku atakutenda huyo atakuacha mpweke, utakuja juta majuto mjukuu.
 
Mimi sijawahi kuona moto ukazimwa na moto huna ndoa usicomment chochote...
 
Acha ubwege....

Kuwa na msimamo wewe mwanaume. Mambo ya kijinga usimruhusu akufanyie. Kununa hakujawahi kuua mtu hata siku moja. Hizo drama zitakuua usipoangalia.
 
hahaha just hahaha!!
SIKUCHEKI ILA NAFURAHI PEKE YANGU.
ukifanikiwa kupata ushauri mzuri na ukawa tayari kuutumia tena kwakujiamini basi ujiandae kuachana nae.

kwa uzoefu wangu, Huyo anakuigizia akulete kwenye 18 zake mwisho wa siku uwe msukule wake yaani anataka kupindua ndoa wewe uwe mke yeye awe mume.

anzia hapa hapa kua ndio kushtuka kwako na kataa kuwa mtegemea HISIA ZAKE yaani akicheka nawewe ucheke akinuna basi na wewe ukose furaha.
kama ana simu bila shaka mara nyingi utakuta DP zake ni vijipicha vya vilivyoandikwa maneno maneno ya uswahili.

ukiweza mpuuze yaani hata ikieleekea kuwa ugomvi, gombana pale anapopelekea kukuvunjia heshima kwa watu wako muhim hasa kikazi.

pia yarudierudie yale yote yanayomkera ilhali wewe uko sahihi, kama unawasiliana issue za kazi na madem endelea tena ukiweza watafute watakaoweza kuekti ili wawe wanakupigia simu daily na akiwatukana wao wasipaniki mwisho wa siku atajiona yeye ni boya flani hivi wa mtukula!

tumia email kwenye mawasiliano yako ya maandishi mara nyingi madem wa hivyo huwa washamba wao wanaamini mapenzi ni kwenye social network na sms tuu.

pendelea kupiga picha na madem wakali wakali na wenye hadhi,
ila kubwa kuliko akinuna na wewe nuna, na akimaliza kununa wewe endelea kununa huku huduma za mezani na nyinginezo ukiendelea nazo kama kawaida yaani hata kama ni kuchapana jikeshe kidogo tuu ukimaliza endelea kununa maana najua atanuna tena ila wewe kaza, hapo asipokuomba poo! basi anajiandaa kufungasha maana ataanza kuleta mgomo wa penzi usimuombe wala kumbembeleza yakikuzidi piga hata nyeto bila yeye kujua, asipoomba poo jiandae kumuaga tuu!

"neno tuu sio sheria"
Mkuu Kwan akipiga nyeto na yeye akijua kuna tatzo Gan? Au Nin kitatokea
 
Mpe mimba,tena na hali hii,akijifungua mpe nyingiine,akijifungua tena mpe nyingine,biashara kwisha.
Akiendelea kununa wewe una-ngea na watoto.
 
Kama una mtaji kidogo mfungulie kibiashara japo cha nyumbani awe biz kidogo.
 
Back
Top Bottom