Berlin storm
Member
- Feb 6, 2023
- 60
- 38
Nawashwa mno sehem za sili mpka sehem ya aja kubwa kwa muda mrefu na dawa nimetumia nyingi sjapona msaada jaman nateseka hakuna vipele Bali ni muwasho suguNasumbuliwa na muwasho sugu sehemu za Siri kwa muda mrefu na nimetumia dawa nyingi sana sijapona muwasho upo mpaka sehemu ya aja kubwa...
Oyaaa usijali .Iz ni fangas za aina gani kama hospital nimeenda lakini Kila napo enda sijawah chukuliwa vipimo Wala nn Kila dactar unaemuelezea anakuandikia dawa tu bac huu mwaka wa Saba sas nawashwa mno sina aman kama Kuna sehem wanavipmo mniambie niende jaman
Halafu samahani je unaweza nielekeza jinsi ya kupost umu maana nabahatisha kaka samahani naomba unielekeze pleaseItakuwa fangasi mkuu unakaa sehemu zenye joto au unavaa nguo za ndani mbichi pole sana
Mimi ni mwanaume broOyaaa usijali .
Wewe ni mwanamke au mwanaume?.
Upo mkoa gani?Halafu samahani je unaweza nielekeza jinsi ya kupost umu maana nabahatisha kaka samahani naomba unielekeze please
Mimi ni mwanaume bro
Iz ni fangas za aina gani kama hospital nimeenda lakini Kila napo enda sijawah chukuliwa vipimo Wala nn Kila dactar unaemuelezea anakuandikia dawa tu bac huu mwaka wa Saba sas nawashwa mno sina aman kama Kuna sehem wanavipmo mniambie niende jaman
aisee, pole sanamwaka wa Saba sas
Huo muwasho unaupata eneo gan la uume ?Halafu samahani je unaweza nielekeza jinsi ya kupost umu maana nabahatisha kaka samahani naomba unielekeze please
Mimi ni mwanaume bro
Ndo nini hii mkuu jazia nyama kidogomkuu nunua BBE inauzwa 2000 tu wiki moja tu uje kuletq mrejesho nilitumia zaidi ya laki mbili nikaja kupona kwa 2000.
hospital hazijajengwa huko ulipo?Nasumbuliwa na muwasho sugu sehemu za Siri kwa muda mrefu na nimetumia dawa nyingi sana sijapona muwasho upo mpaka sehemu ya aja kubwa
Nikitembea ni kama mtu ananichana chana kwenye korodani
Msaada jamani ni muda mrefu naumwa. Dawa natumia ila siponi.
Kwa sababu hayo maeneo unapowashwa ni maeneo NYETI sana nashuri usitumie dawa hovyo hovyo.nenda hospitali ukapimwe vizuri.Nasumbuliwa na muwasho sugu sehemu za Siri kwa muda mrefu na nimetumia dawa nyingi sana sijapona muwasho upo mpaka sehemu ya aja kubwa.i.
Ni aina gan ya dawa na inapatkana wp mkuu?mkuu nunua BBE inauzwa 2000 tu wiki moja tu uje kuletq mrejesho nilitumia zaidi ya laki mbili nikaja kupona kwa 2000.