Nini dawa ya muwasho sugu sehemu za siri?

Nini dawa ya muwasho sugu sehemu za siri?

Pole sana Berlin storm kwa kadhia hiyo.Nenda duka la madawa- Nunua dawa inaitwa "Iodine Tincture" iko kwenye kichupa kidogo tu, nunua na pamba ukaanze kupaka eneo husika mara mbili kwa siku.

Fanya hivyo kwa wiki nzima kisha uzingatie usafi binafsi wa mwili sehemu hizo kwa kutumia sabuni medicated. Kila la kheri.
 
Pole sana mkuu itakua fangasi wamekomaa kiwango cha reli ya mjerumani hao ebu tafuta hivi vtu
Vtunguu saum
Aloevera
Mafuta ya nyonyo.

Saga vitunguu na aloevera pamoja alafu chemsha kwnye hayo mafuta ya nyonyo kwa dakika chache hta kumi hazifiki epua ikipoa chuja tumia kupakaa asbhi na jioni angalizo kwa sku 2 au 3 za mwanzo dawa itawasha kias lkn baada ya hapo mambo yatakuwa bulbul in mkojan voice
 
Ushauri wangu nunua detol uwe unaroweka boxer zako. Vaa boxer ambazo si nguo zenye rubber vaa cotton. Uwe unapiga pasi boxer ikiwezekana tupa baadhi ambazo ukivaa unahisi unawashwa zaidi.

Hizi ni candida au fungus na kupona ni ngumu sana. Acha kulala na wanawake ukilala na wanawake majimaji yanafanya uwashwe zaidi. Jitahidi upake dawa hizi za fungus ziko aina nyingi. Nakushauri week ya kwanza anza na ski derm, week ya pili tumia candidat, week ya tatu rudi kwa skiderm.

Nenda hospital watakupa dawa za kumeza nadhani za kuua infection within.

kuna mshikaji wangu alisumbuliwa na hii kitu mpaka akawa analia. Nakumbuka alienda mpaka kwa doctor mwaka ila mshikaji alikuw kitombi sana ndo maana akawa japonica. .
 
Kwa sababu hayo maeneo unapowashwa ni maeneo NYETI sana nashuri usitumie dawa hovyo hovyo.nenda hospitali ukapimwe vizuri.Badilisha hospitali kama kama umetibiwa hujapona.Kama uko Dsm anza na Regency hospital.ma doctor wetu wa Bongo ni kama mafundi gereji tuu,sometimes ramli nyingi, madawa mengi,utalamu kidogo,ilmradi idadi ya wagonjwa aliowatibu iwe kubwa apate kamisheni kubwa.Ukienda hapa hujapona baada ya kumaliza dose nenda na hospital nyingine ukajaribu.
Ila ndugu Berlin anza na ushauri huu kabla hujasoma mashauri yetu wengine
 
Chukua vidonge grisufluvin 30 unakunywa moja asubuhi moja jion kwa siku15, pia nunua whitefield unakuwa unapaka kila unapomaliza kuoga futa na towel ukaushe kabisa sehem unapowasha then paka asubuhi na usiku kwa angalau miezi3 bila kuacha.

Chupi zako uzinyoshe na pasi kabla ya kuvaa, pia taulo yako kila siku inyoshe na pasi na ufue angalau maramoja kwa wiki
 
Chukua vidonge grisufluvin 30 unakunywa moja asubuhi moja jion kwa siku15, pia nunua whitefield unakuwa unapaka kila unapomaliza kuoga futa na towel ukaushe kabisa sehem unapowasha then paka asubuhi na usiku kwa angalau miezi3 bila kuacha,
Chupi zako uzinyoshe na pasi kabla ya kuvaa, pia taulo yako kila siku inyoshe na pasi na ufue angalau maramoja kwa wiki
Hizo dawa nimeshawah tumia kaka zaidi ya maramoja at
 
Kuna uwezekano ukawa unasumbuliwa na fungus licha ya kutumia dawa za kupaka na kumeza inabidi kuepuka kufanya vitu vinavyoweza kufanya shida yako ikarudi mara kwa mara.
Kaka hii haiend kusem inaend inarud apana Yan mud wot na Kila siku at
 
Acha umalaya tulia na mmoja msafi.
Nyoa maviuz Mara kwa mara. Epuka gesti house za short time especially maeneo ya Manzese, Buguruni na Mbagala.
Oga asubuhi na jioni.
Ukijitibu mtibu na huyo mpenzi wako.
Osha chupi , nguo zako zote na mashuka na maji ya moto. Vyote vioshwe kwa mpigo kuepuka wadudu kuhamia kwengine.
Tumia toilet paper.
Thank me later.
 
Acha umalaya tulia na mmoja msafi.
Nyoa maviuz Mara kwa mara. Epuka gesti house za short time especially maeneo ya Manzese, Buguruni na Mbagala.
Oga asubuhi na jioni.
Ukijitibu mtibu na huyo mpenzi wako.
Osha chupi , nguo zako zote na mashuka na maji ya moto. Vyote vioshwe kwa mpigo kuepuka wadudu kuhamia kwengine.
Tumia toilet paper.
Thank me later.
Bro labd nikuelez tatiz hili limeanza tangia nipo daras la xaba umalay nimeufanya sangap at
 
Back
Top Bottom