Nini dawa ya mwanamke mwenye wivu kupitiliza?

Nini dawa ya mwanamke mwenye wivu kupitiliza?

1. Avae dera, khanga na ushungi ni lazima.
2. Asiangalie music videos za waimbaji wa kiume.
3. Asiende sokoni au shopping peke yake.
4. Asivae high heels
5. Simu isiwe smart.
6. Lunch kula home na umshtukize mara kwa mara uwe unarudi home ghafla.
7. Omba game mara kwa mara, sehemu za ajabu ( kama una ceiling omba mechi juu ya ceiling).

Ataacha wivu.
 
Nawasalimu.

Kama tujuavyo, wivu ni sehemu ya mapenzi lakini jamani ukizidi nahisi ni kero kubwa Sana Kwa upande wangu sijui Kwa wengine.

Mke wangu amekuwa na wivu ambao umekuwa Sam taim ni kero Sana. Kwamfano

-Simu yangu ikiingia sms / call lazima akurupuke na kwenda kuisoma ama kuipolea hasa ikiwa ni namba ngeni.

- Nikienda kazini (si mbali Sana na nyumbani) mara amekuja bila hata taarifa Kwa maana kwamba ananilinda.

- Nikiwa sebleni na eidha wageni ama jamaa. Kwa muda Tu mara ataniita ndani

- Nikisafiri atataka tuchati usiku wote, kwamba naweza kuwa na mwanamke mwingine..

- Wakati mwingine hata Nikienda chooni kukata gogo, mara amekuja, mara amegonga mlango kwamba amenimiss.

- Nikiongea na simu tukiwa wote, hata Kama naongea na mwanaume mwenzangu basi anaweza kuikwapua na kukata akidai kuwa naongea Sana na anataka aongee namimi Tu.

- Mara Kwa mara hukagua simu yangu, akikuta namba mpya ataipigia na kujua ni Nani. Kama ni mwanamke hata akiwa mteja wangu basi ni kesi.

NABOEKA SANA (ananiboa)

Ni mke wangu wa ndoa, na tuna miaka mitatu sasa na mtoto mmoja.


MSAADA TAFADHALI
Anataka mkemwenza huyo tena mwenye gubu halafu anayejua kuchamba
 
Pole mkuu.

Wewe ndio ulimzoesha huo ujinga.

Miaka 2 miwili ya kwanza ya ndoa ndio watu hujenga misingi ya ndoa..

Huo ndio ulikuwa muda wa kumwambia;
1. Akae mbali na simu yako
2. Ndio muda kumuonesha hapaswi kuganda kila mahali unapoenda na mengine mengi.

Mimi sijui unaisha maisha gani hayo mkuu ila jaribu kumtwist akae mkao unatoka wewe...hujachelewa bado..

Ukishindwa endeleea kuishi misri hivyo hivyo.
 
1. Avae dera, khanga na ushungi ni lazima.
2. Asiangalie music videos za waimbaji wa kiume.
3. Asiende sokoni au shopping peke yake.
4. Asivae high heels
5. Simu isiwe smart.
6. Lunch kula home na umshtukize mara kwa mara uwe unarudi home ghafla.
7. Omba game mara kwa mara, sehemu za ajabu ( kama una ceiling omba mechi juu ya ceiling).

Ataacha wivu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji87][emoji87]
 
ila wafupi ni watamu jamani......hapo kwenye wivu tuu.......yani hata mkiingia duka la dawa.....atakuuliza hiyo hapo ni dawa gani....ukimjibu kondom....kesi tayari...... umejulia wapi....utafikiria tumezaliwa pamoja......ila KITANDANI........wanawake wafupi mpoooo.....mpunguze wivu...
 
Nawasalimu.

Kama tujuavyo, wivu ni sehemu ya mapenzi lakini jamani ukizidi nahisi ni kero kubwa Sana Kwa upande wangu sijui Kwa wengine.

Mke wangu amekuwa na wivu ambao umekuwa Sam taim ni kero Sana. Kwamfano

-Simu yangu ikiingia sms / call lazima akurupuke na kwenda kuisoma ama kuipolea hasa ikiwa ni namba ngeni.

- Nikienda kazini (si mbali Sana na nyumbani) mara amekuja bila hata taarifa Kwa maana kwamba ananilinda.

- Nikiwa sebleni na eidha wageni ama jamaa. Kwa muda Tu mara ataniita ndani

- Nikisafiri atataka tuchati usiku wote, kwamba naweza kuwa na mwanamke mwingine..

- Wakati mwingine hata Nikienda chooni kukata gogo, mara amekuja, mara amegonga mlango kwamba amenimiss.

- Nikiongea na simu tukiwa wote, hata Kama naongea na mwanaume mwenzangu basi anaweza kuikwapua na kukata akidai kuwa naongea Sana na anataka aongee namimi Tu.

- Mara Kwa mara hukagua simu yangu, akikuta namba mpya ataipigia na kujua ni Nani. Kama ni mwanamke hata akiwa mteja wangu basi ni kesi.

NABOEKA SANA (ananiboa)

Ni mke wangu wa ndoa, na tuna miaka mitatu sasa na mtoto mmoja.


MSAADA TAFADHALI
Usisumbuke nae Mpandishe cheo awe mke mkubwa bila shaka anatamani kupanda cheo
 
Nawasalimu.

Kama tujuavyo, wivu ni sehemu ya mapenzi lakini jamani ukizidi nahisi ni kero kubwa Sana Kwa upande wangu sijui Kwa wengine.

Mke wangu amekuwa na wivu ambao umekuwa Sam taim ni kero Sana. Kwamfano

-Simu yangu ikiingia sms / call lazima akurupuke na kwenda kuisoma ama kuipolea hasa ikiwa ni namba ngeni.

- Nikienda kazini (si mbali Sana na nyumbani) mara amekuja bila hata taarifa Kwa maana kwamba ananilinda.

- Nikiwa sebleni na eidha wageni ama jamaa. Kwa muda Tu mara ataniita ndani

- Nikisafiri atataka tuchati usiku wote, kwamba naweza kuwa na mwanamke mwingine..

- Wakati mwingine hata Nikienda chooni kukata gogo, mara amekuja, mara amegonga mlango kwamba amenimiss.

- Nikiongea na simu tukiwa wote, hata Kama naongea na mwanaume mwenzangu basi anaweza kuikwapua na kukata akidai kuwa naongea Sana na anataka aongee namimi Tu.

- Mara Kwa mara hukagua simu yangu, akikuta namba mpya ataipigia na kujua ni Nani. Kama ni mwanamke hata akiwa mteja wangu basi ni kesi.

NABOEKA SANA (ananiboa)

Ni mke wangu wa ndoa, na tuna miaka mitatu sasa na mtoto mmoja.


MSAADA TAFADHALI
ukipenda boga penda na ua lake
 
Nawasalimu.

Kama tujuavyo, wivu ni sehemu ya mapenzi lakini jamani ukizidi nahisi ni kero kubwa Sana Kwa upande wangu sijui Kwa wengine.

Mke wangu amekuwa na wivu ambao umekuwa Sam taim ni kero Sana. Kwamfano

-Simu yangu ikiingia sms / call lazima akurupuke na kwenda kuisoma ama kuipolea hasa ikiwa ni namba ngeni.

- Nikienda kazini (si mbali Sana na nyumbani) mara amekuja bila hata taarifa Kwa maana kwamba ananilinda.

- Nikiwa sebleni na eidha wageni ama jamaa. Kwa muda Tu mara ataniita ndani

- Nikisafiri atataka tuchati usiku wote, kwamba naweza kuwa na mwanamke mwingine..

- Wakati mwingine hata Nikienda chooni kukata gogo, mara amekuja, mara amegonga mlango kwamba amenimiss.

- Nikiongea na simu tukiwa wote, hata Kama naongea na mwanaume mwenzangu basi anaweza kuikwapua na kukata akidai kuwa naongea Sana na anataka aongee namimi Tu.

- Mara Kwa mara hukagua simu yangu, akikuta namba mpya ataipigia na kujua ni Nani. Kama ni mwanamke hata akiwa mteja wangu basi ni kesi.

NABOEKA SANA (ananiboa)

Ni mke wangu wa ndoa, na tuna miaka mitatu sasa na mtoto mmoja.


MSAADA TAFADHALI

Isije ikawa huu wivu ni wa kupika na si halisi, na pengine umelenga kumfanya akufiche baadhi ya vitu vyake ambavyo asingependa uvifahamu. Otherwise kama ni halisi, just be patient with her. Unajua nini, sisi binadamu nimekuja kugundua tuna tabia ya kupenda vigeni. Akija tuseme ndugu yako au rafiki yako wa kiume kukutembelea nyumbani kwako, unampenda zaidi akiwa bado mgeni, halafu baada ya muda labda unaanza kumchoka, hata kama ni mwema namna gani! Yaani kuna watu tuna asili ya kutaka vitu vigeni tu viwepo katika mazingira yetu, vya kudumu ambavyo tutakuwa navyo siku zote, hivyo hapana! Hili ndiyo tatizo ambalo linawafanya watu wengi wanashindwa kuishi vizuri katika mazingira ya mahusiano majumbani kwao, bila kujali ni mume na mke ama la. Na mbaya zaidi ni kwamba mke au mme, huwa ni LAZIMA awe wa KUDUMU. Yaani wanadamu tulio WENGI, lazima TUJUE, TUKUBALI NA TUKIRI KUWA TUNA KILE KI-ASILI CHA ROHO MBAYA, ambacho huwa kinapelekea hata kumchukia mtu mwingibe BILA HATA SABABU. Tusipolijua hilo na kulikubali,tutawapa shida sana watu wengine, na sisi wenyewe pia tutapata shida sana. Binadamu KARIBIA wote tuna asili hiyo, lazima tukubali.Na ndiyo maana huwa tunasema nobody is PERFECT
 
Isije ikawa huu wivu ni wa kupika na si halisi, na pengine umelenga kumfanya akufiche baadhi ya vitu vyake ambavyo asingependa uvifahamu. Otherwise kama ni halisi, just be patient with her. Unajua nini, sisi binadamu nimekuja kugundua tuna tabia ya kupenda vigeni. Akija tuseme ndugu yako au rafiki yako wa kiume kukutembelea nyumbani kwako, unampenda zaidi akiwa bado mgeni, halafu baada ya muda labda unaanza kumchoka, hata kama ni mwema namna gani! Yaani kuna watu tuna asili ya kutaka vitu vigeni tu viwepo katika mazingira yetu, vya kudumu ambavyo tutakuwa navyo siku zote, hivyo hapana! Hili ndiyo tatizo ambalo linawafanya watu wengi wanashindwa kuishi vizuri katika mazingira ya mahusiano majumbani kwao, bila kujali ni mume na mke ama la. Na mbaya zaidi ni kwamba mke au mme, huwa ni LAZIMA awe wa KUDUMU. Yaani wanadamu tulio WENGI, lazima TUJUE, TUKUBALI NA TUKIRI KUWA TUNA KILE KI-ASILI CHA ROHO MBAYA, ambacho huwa kinapelekea hata kumchukia mtu mwingibe BILA HATA SABABU. Tusipolijua hilo na kulikubali,tutawapa shida sana watu wengine, na sisi wenyewe pia tutapata shida sana. Binadamu KARIBIA wote tuna asili hiyo, lazima tukubali.Na ndiyo maana huwa tunasema nobody is PERFECT
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom