Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Alafu wanawake wafupi ni shida kweli kweli maana wakiamua tu kuvimba bila sababu wanavimba haswaa.
Mkuu ishu yako ninkama yangu mimi naye wakwangu kila wakati na simu yangu ila mimi huwa namjibu tu kitu kimoja kuwa afuatilie na apekuwe tu ila akipata hicho anachokitafuta akalilie nje na asinisumbue kwa maswali. Kwa kifupi hawa wanawake wafupi wanahitaji uwe na mkwara mzito haswaa.
Aisee[emoji57][emoji57]
Cc Kingsmann