Nini dhumuni la Serikali kuanzisha tahasusi hii ya biashara ikiwa na somo la 'Islamic Knowledge'?

Nini dhumuni la Serikali kuanzisha tahasusi hii ya biashara ikiwa na somo la 'Islamic Knowledge'?

kuna bank ngapi za kiislamu zinazofuata sharia law au biashara unazojua wewe ambazo hazipo kutafuta maximum profit zitakazo waajiri hao watoto.
Nani kasema wanaosoma masomo ya dini ni kwa ajili ya ajira? Mfano wakatoliki huwa wana mafundisho yao hadi mtu anapata kipaimara kwani huwa wanatumia kuombea kazi? Same to waislam kwenda madrassa umewahi sikia inatumika kuombea kazi? Hapo core subject is business studies akienda chuo atasoma BBA, Accounting n.k sijaona issue hapo ya ajabu.

Hata mimi advance level nilisoma Principle 3 yaani History, Economics, na Divinity. Chuo nikapiga Economics mbona sikupoteza kitu?
 
Unawafundisha watu biashara ya kiislamu
Hakuna somo la islamic business sijui unapotosha kwa faida ya Nani.

Ila hata kama likija kuanzishwa ni lazima ufaham islamic banking ndio highest growing business venture coz ya obvious market. Na sio dhambi mtu kuspecialize, mfano mimi nilispecialiaze kwenye mambo ya Market research na humo humo ndio nikatoboa..... ulimwengu wa sasa needs expertise sio general skills!!

Kuna watu humu mindset zenu ni regressive sana
 
Hakuna somo la islamic business sijui unapotosha kwa faida ya Nani.

Ila hata kama likija kuanzishwa ni lazima ufaham islamic banking ndio highest growing business venture coz ya obvious market. Na sio dhambi mtu kuspecialize, mfano mimi nilispecialiaze kwenye mambo ya Market research na humo humo ndio nikatoboa..... ulimwengu wa sasa needs expertise sio general skills!!

Kuna watu humu mindset zenu ni regressive sana
Mkuu soma kwanza mada na course 27 hiyo degree ndio inajadiliwa. Ina faida gani?

Tanzania sio nchi pekee inafundisha religious studies at higher level za dini zote.


IMG_7338.jpeg


Ukienda hata kwenye website za wenzetu za kutafuta degree ya kufanya masomo ya dini zote yapo. Theology if combined kwa asilimia kubwa inakuwa na religious studies au social sciences kama criminology, anthropology, sociology (basically inatumika kama ethics) but hakuna chuo kikuu cha maana inatoa degree ya theology or religious studies combined with core business studies (rarely).

IMG_7337.jpeg


However uki search Islamic studies unaweza kukuta zinatolewa na core business au finance studies, why? Kwa sababu nadharia zake zinafundishwa kwa misingi ya sharia na lengo ni kutengeneza minimal profits.

Sasa wewe unadhani hiyo combo ya economic, business studies na Islamic studies ya Tanzania kama hizo combo zingine ni circular its pointless basi kuweka Islamic studies; hiyo dini si mtu anaweza kujifunza hata madrasah. Mantiki ya kuweka Islam kwenye combo yeyote ina base on sharia law teachings.

Lakini uwezi kukuta hizo combo na masomo ya dini ya nyingine kwa sababu biashara ni circular study kwao.

Anyway all the best kama unadhani ni muhimu kwa vijana kupewa hiyo elimu.
 
Kabla selikali haija ruhusu Hilo Jambo ni vema Kwanza wange anza kuangalia Hali ilivyo kwenye inchi zilizo wai kuu pigia debe sana uislamu na uislamu ume tawala sana kwenye inchi hizi

Kwamfano Hali ikoje kwenye inchi za Somalia,Nigeria,sudani, Senegal,Irani,iraq,nk

Kama huko Hari ziko vizuri Basi tutakuwa tuna liandaa taifa letu kuwa salama lakini Kama Hari za huko si.salama Basi tuna liandaa taifa letu kuwa pale yalipo mataifa mifano yaliyo tawaliwa na dini hiyo
 
Mbona unaingia na kutoka! Sasa umesema kabisa kwamba ni combinations za masomo ya dini na ushahidi ukasema halafu juu umesema kufuata Islamic laws, je tukueleweje sasa? Mfano hiyo namba 65 ni Divinity, Kiswahili and English Language (DKL) je na hiyo ni Islamic?

Acheni propaganda wajameni mwe!

Tukirudi kwa mtoa mada na wengine wanaodis, kwani kuna anayeshikiwa bunduki kusoma combi fulani? Si ni wewe tu na roho yako unakwenda kuchagua kusoma unachokitaka sasa mtu akipenda mwenyewe kusoma DKL au hiyo kombi uliyoiletea uzi shida iko wapi? Tukienda mbali zaidi kama mnaona hiyo kombi imechochora si ndio vizuri wasome waishie kubaki mtaani wanaelea tu huku nyinyi wajanja mkisoma kombi za uhakika mnatusua zenu

Easy!

..nadhani imewalenga zaidi wazanzibari (si kwa ubaya) .. uchumi wa bluu na biashara zaidi na nchi zenye kufuata Islamic laws , kwa kukusaidia ...kwenye list hiyo hiyo kaangalie mwisho nambari 58 Hadi 65 ..Kuna 'combinations' zenye masomo ya dini.

Huo ni mtizamo wangu. Simlazimishi mtu kuukubali wala simzuii kuukataa .
 
,🤣🤣usiumize kichwah,hesabu zenyewe hawajui,wataishia kuandika kiarabu🤣🤣lots of zeros loaded
 
Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati.

Moja ya tahasusi, si kwa ubaya, ila nadhani wengi tungependa kufahamu kuhusu hii combination mpya ya Biashara inayojumuisha masomo ya Economics, Business Studies na Islamic Knowledge. Hapo somo la Islamic Knowledge linahusika vipi na masuala ya biashara?

Ni bahati mbaya au makusudi. Huenda nimeachwa na mambo ya kisasa lakini kwangu bado haileti maana yoyote.

View attachment 2940349
Soma historian ya nchi yako!!

Uislam na biashara ni chanda na pete!

Ukristo na utawala ni maji na chura!

Ndio Maana mgalatia akipita nchi inatawalika hata Kwa chuma mradi serikali iwe na power kuliko mtu,

Muislam akiingia watu wanakua na power kubwa kifedha hadi kiutawala,ndio maana wanaweza amua kukata umeme Ili biashara za magenerator zisonge!!

Jiulize kwanini Sasa hivi mwezi mtukufu kwanini mzunguko wa biashara no mdogo!!?coz waislam ndio wenye mzunguko was fedha nchini Sasa wamekaa wakipumzika wafunge halafu mwezi ukiisha wanakuja mzigoni na pesa utaiona inazunguka!!!

Jiulize Mo,Bakhresa,manji n.k wamekua ma don Kwa bahati mbaya!!?ni coz Dola iliamua iwe hivyo!!

Niishie hapo!!
 
Serikali kupitia TAMISEMI imetangaza ongezeko la tahasusi mpya kadhaa ambazo vijana wetu watatakiwa kusoma, nimeona nyingi haziridhishi labda zimewekwa kimkakati.

Moja ya tahasusi, si kwa ubaya, ila nadhani wengi tungependa kufahamu kuhusu hii combination mpya ya Biashara inayojumuisha masomo ya Economics, Business Studies na Islamic Knowledge. Hapo somo la Islamic Knowledge linahusika vipi na masuala ya biashara?

Ni bahati mbaya au makusudi. Huenda nimeachwa na mambo ya kisasa lakini kwangu bado haileti maana yoyote.

View attachment 2940349
Hiiiii. !!
 
Thread zimeanzishwa chap chap zenye muelekeo wa udini udini ili tu watu wasahau kujadili habari za Uchaguzi mdogo wa Kigoma na Mtwara 😅😅😂😂🔥
 
Back
Top Bottom