Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kumbe ni huko dasalama 😅Coco leo miogo festival 😀😀
Mi nipo sitimbi huku tabu tupu n muda wa kulala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni huko dasalama 😅Coco leo miogo festival 😀😀
hasara ni kwamba utakua umejipiga ban ya kuleta pisi kutoka mbali magetoni kuinyanduaWakurungwaaa najeee?
Kwa sisi wadau wa nyumba za kupanga kwa namna fulani unaweza kujikuta umevutiwa na jirani yako fulani kwa namna moja au nyingine. Au unaweza kujikuta unaangukia kwenye mahusiano na Mwanamke au mwanaume anayeishi karibu sana na nyumbani kwako.
Je, kuna faida au hasara yoyote ya kuwa na mahusiano ya namna hii?
Hahahahahah hio kindewa sana yani😀😀😀😀asipo elewa hapo basiii
Jirani ni wa kumegana kisela tu na kusaidiana mkizidiwa mahusiano nehinehi
Maisha ni mafupi saaana kuishi kwa stress ndogondogoHahahahahah hio kindewa sana yani
Hutumi nauliWakurungwaaa najeee?
Kwa sisi wadau wa nyumba za kupanga kwa namna fulani unaweza kujikuta umevutiwa na jirani yako fulani kwa namna moja au nyingine. Au unaweza kujikuta unaangukia kwenye mahusiano na Mwanamke au mwanaume anayeishi karibu sana na nyumbani kwako.
Je, kuna faida au hasara yoyote ya kuwa na mahusiano ya namna hii?
Mbona kama vile kisa chako ni kizuri sana embu tiririka kwa uzuriOya vuka ilo janga
Nliwahi date na mtoto wa mwenyenyumba
Alikua na geto lake freshiiii humo humo ndani
Penzi likawa moto
Ikifika tu saa4 tunaanza kupangana namna ya kuvushana
Anakuja kwangu au naenda kwakw
Trooomba hadi sio poa
Akapat mshikaji mwingine …akawa hatak kuja geto na hataki niende kwake na ole wake nipate dem kumleta geto siwezi
Nliishi kwa shida sana hadi siku nlio fanya maamuzi magumuu
Suley leo umekuja na Hii?Wakurungwaaa najeee?
Kwa sisi wadau wa nyumba za kupanga kwa namna fulani unaweza kujikuta umevutiwa na jirani yako fulani kwa namna moja au nyingine. Au unaweza kujikuta unaangukia kwenye mahusiano na Mwanamke au mwanaume anayeishi karibu sana na nyumbani kwako.
Je, kuna faida au hasara yoyote ya kuwa na mahusiano ya namna hii?
HahahaNikiriport kutoka nyumbani kwetu ni mimi binamu yako 😀😀nisie na jirani
Wakurungwaaa najeee?
Kwa sisi wadau wa nyumba za kupanga kwa namna fulani unaweza kujikuta umevutiwa na jirani yako fulani kwa namna moja au nyingine. Au unaweza kujikuta unaangukia kwenye mahusiano na Mwanamke au mwanaume anayeishi karibu sana na nyumbani kwako.
Je, kuna faida au hasara yoyote ya kuwa na mahusiano ya namna hii?
Bandali imeendaa mkuu😂Mbona kama vile kisa chako ni kizuri sana embu tiririka kwa uzuri
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Acha iende hatuna matumizi nayoBandali imeendaa mkuu[emoji23]
Wewe hata hamas wamejificha mashimoni lkn bado wanachapwa usiwe muogaHahahah inaweka barriers to entry, iko na mchalii anaikula thus why
Hahah Ngoja tu ni break even soon, imma be smashing zat fajainaWewe hata hamas wamejificha mashimoni lkn bado wanachapwa usiwe muoga