Nini faida au hasara ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na jirani yako?

Nini faida au hasara ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na jirani yako?

Maisha n i kupata na kushare usiogope ilimradi asiwe mchumba, mke au mpenzi wa mtu kama usalama upo kula
 
Wakurungwaaa najeee?

Kwa sisi wadau wa nyumba za kupanga kwa namna fulani unaweza kujikuta umevutiwa na jirani yako fulani kwa namna moja au nyingine. Au unaweza kujikuta unaangukia kwenye mahusiano na Mwanamke au mwanaume anayeishi karibu sana na nyumbani kwako.

Je, kuna faida au hasara yoyote ya kuwa na mahusiano ya namna hii?
Kuwa na demu jirani ni sawa na kufungwa segerea.
 
Saa Kwann ulichelewa zako amua [emoji23][emoji23][emoji23]
Nlikua nampenda

Toto la kimasai..tall kwenda juu…
Huku nyuma sass🤓🤓🤓
Tukianza show ni bampa to bampa! Husikii neno nmechoka wala nini

Ila ndio hivyo
 
Back
Top Bottom