Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
We sema tuNilitaka niseme neno ila ngoja nitulie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We sema tuNilitaka niseme neno ila ngoja nitulie
Aya we mwelesee
Kuwa na demu jirani ni sawa na kufungwa segerea.Wakurungwaaa najeee?
Kwa sisi wadau wa nyumba za kupanga kwa namna fulani unaweza kujikuta umevutiwa na jirani yako fulani kwa namna moja au nyingine. Au unaweza kujikuta unaangukia kwenye mahusiano na Mwanamke au mwanaume anayeishi karibu sana na nyumbani kwako.
Je, kuna faida au hasara yoyote ya kuwa na mahusiano ya namna hii?
Mimi sio kaka yako plz
Nlikua nampendaSaa Kwann ulichelewa zako amua [emoji23][emoji23][emoji23]
DaaaahMimi sio kaka yako plz
Unataka nikuogope sio?Daaaah