Bwegemsela
Member
- Aug 30, 2019
- 59
- 90
- Thread starter
- #21
Hiyo statement yako nimeielewa vizuri sana kinachotakiwa ni kuwa na subra kwa kuweka misingi mizuri ya kuna kulimiliki hilo gari bila presha ya aiana yoyote ila hapo watoto wazuri watakuwa wamekupitaAdvice to young generation ukweli usafiri is no longer luxury it is necessity.
Muhimu angalia uwezo wako ukiona kipato chako kidogo na bado umepanga una familia unasomesha pengine una nyumba ndogo usichukue mkopo ajili ya gari kumbuka gari is another family...