Nini faida ya kumiliki gari?

Nini faida ya kumiliki gari?

Totoz...totoz...MKUU...juzi kuna demu Fulani wa CHUO kanichek saa saba za usiku kanambiya nimfate, nimlete GHETO NIMGEGEDE, nilishindwa kwenda, nikakumbuka NINGEKUWA NA GARI CHAP KWA HARAKA,,,nishamzoa. GARI NI UCHAWI WA KIZUNGU MKUU...hakuna KINGINE.
Wanajamvi naomba tujuzane kuhusu faida ya kumiliki gari hasa kwa watu wa kipato cha chini wakati huo wakiwa na changamoto nyingi na za msingi zikiwakabili ikiwemo kutokuwa na makazi (nyumba) na bima za afya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajamvi naomba tujuzane kuhusu faida ya kumiliki gari hasa kwa watu wa kipato cha chini wakati huo wakiwa na changamoto nyingi na za msingi zikiwakabili ikiwemo kutokuwa na makazi (nyumba) na bima za afya.
Gari ni chombo kinacho rahisisha mambo iwapo huna hali ngumu sana,lakini gari inaweza kukuingizia pesa pia..gari ni muhimu sana kwa familia japo si kila ukitoka iwe lazima kulitumia iwapo zipo dala dala mjini,fanyia mambo yale ya msingi tu.

Kwa mfano mimi binafsi nimewahi kuuguliwa na mtoto usiku saa tisa na ninaishi nje ya mji kilometer 22,ile hali ya mtoto sitakaa nikaisahau lakini gari ilimsaidia mtoto wangu kua salama.

So ina umuhimu kwa watu wa kipato cha kuanzia cha kati kwenda juu. Narudia tena si lazima kulitumia gari kila unavyotoka,tumia kwa mambo muhimu tu na utapenda
 
Gari muhimu sana aisee,mimi mwenyewe naomba tu Mungu anisaidie niweze Kumiliki,hata km ikiwa ni kamkweche.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah ila gari inalemaza sana mkuu, mie kupanda bike au bajaji ni ishu sikuhizi.😂😂😂 si kwamba sipandi ila hata kama gari imekorofisha sitakaa siku 2 sijaipeleka service!

Bibie mwenyewe tu safari ya kwenda bila gari haiungi mkono.
 
Hahahah ila gari inalemaza sana mkuu, mie kupanda bike au bajaji ni ishu sikuhizi.[emoji23][emoji23][emoji23] si kwamba sipandi ila hata kama gari imekorofisha sitakaa siku 2 sijaipeleka service!

Bibie mwenyewe tu safari ya kwenda bila gari haiungi mkono.
Sema hapo inatakiwa kubalance,kuna siku unatumia gari,na siku nyingine unatembea kwa mguu ili usilemae.
 
............................Wengi wanaomiliki magari hapa bongo wanakuwa nayo hasa kwa ajili ya show off wachache sana wanayo kwa sababu imewalazimu kuwa nayo!!!

Kumiliki gari ili usionekane na wewe unatumia public buses huku humiliki vitu vya maana maishani kama nyumba au viwanja hapo kwa wenye akili watakuona akili huna coz mwenye gari ya mill30 ana 99.1% kurudi zero kuliko anayemiliki nyumba au kiwanja.

Fanya vitu vya msingi kwanza maishani ili hata ukiwa haupo duniani viwasaidie wale unaowaacha siyo unakufa unaacha Altezza imepaki CCM huku mke na watoto wapo nyumba ya kupanga i swear utatengeneza mlolongo m'baya sana wa umasikini kutoka ktk kiuno chako.
 
Upo sahihi sana mkuu lakini katika maisha huwezi kuwa na kila kitu kwa wakati mmoja cha msingi hapo ni kipi kipaumbele chako
............................Wengi wanaomiliki magari hapa bongo wanakuwa nayo hasa kwa ajili ya show off wachache sana wanayo kwa sababu imewalazimu kuwa nayo!!!

Kumiliki gari ili usionekane na wewe unatumia public buses huku humiliki vitu vya maana maishani kama nyumba au viwanja hapo kwa wenye akili watakuona akili huna coz mwenye gari ya mill30 ana 99.1% kurudi zero kuliko anayemiliki nyumba au kiwanja.fanya vitu vya msingi kwanza maishani ili hata ukiwa haupo duniani viwasaidie wale unaowaacha siyo unakufa unaacha Altezza imepaki CCM huku mke na watoto wapo nyumba ya kupanga i swear utatengeneza mlolongo m'baya sana wa umasikini kutoka ktk kiuno chako.
 
Upo sahihi sana mkuu lakini katika maisha huwezi kuwa na kila kitu kwa wakati mmoja cha msingi hapo ni kipi kipaumbele chako
Kipaumbele ni kumiliki assets zisizohamishika kirahisi mkuu,gari zinagongwa right off mtu anabaki hohehahe in a minute ila mwenye banda lake atapata majanga yote ila mwisho wa siku anarudi kwenye kiota chake analala huku akimsubiri mwenye IST iliyogongwa aliyepanga kwake amlipe kodi apeleke wanae shule.

Kuna wenye umuhimu wa kumiliki gari hali ya kuwa hawana makazi kwa sababu ndizo zinazowaingizia hela ya kufanya vya maana zaidi ila kama gari siyo kitega uchumi chako au haihusiki kukuingizia kipato fanya vya msingi kwanza magari yapo tu utamiliki huko mbeleni
 
Kumiliki gari kwa dunia ya sasa ni hitaji la msingi

Sent using Jamii Forums mobile app

Kaka naomba unishauri. Najichanga nifikishe 5 mil. nitafute gari ndogo kati ya Passo, Vitz, Starlet (najua kupata IST kwa bei hiyo mtihan).

Je naweza kupata kweli kwa bei hiyo?
Halafu nataka hiyo milioni 5 ijumuishe hadi BIMA ya gari (sijui ndio mnaita licence).
Nitaweza kweli ama najidanganya niendelee kusugua malapa?

Kati ya gari hizo ndogo unanishauri nitafute ipi (ukizingatia sijawahi kumiliki gari)

Natafuta gari ya mizunguko hapa mjini Dar. Kwenda UDSM, kurudi nyumban, kwenda kuwasalimia dada zangu Bunju!
 
Kwa wenzetu gari ni sehemu ya maisha yao. Mfano states nyingi za USA hazina public transport, yani ukiwa huna usafiri wako basi utapanda uber mpaka basi. Public transport nyingi ni za state to state hasa hasa treni za mwendokasi...

Kaka naomba unishauri. Najichanga nifikishe 5 mil. nitafute gari ndogo kati ya Passo, Vitz, Starlet (najua kupata IST kwa bei hiyo mtihan).

Je, naweza kupata kweli kwa bei hiyo?
Halafu nataka hiyo milioni 5 ijumuishe hadi BIMA ya gari (sijui ndio mnaita licence).
Nitaweza kweli ama najidanganya niendelee kusugua malapa?

Kati ya gari hizo ndogo unanishauri nitafute ipi (ukizingatia sijawahi kumiliki gari)

Natafuta gari ya mizunguko hapa mjini Dar. Kwenda UDSM, kurudi nyumban, kwenda kuwasalimia dada zangu Bunju!
 
Back
Top Bottom