Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaendelea maana kila uchwao watu wanataka kumiliki usafiri binafsi, kwahiyo ni Bora zaidi mtu akajua faida anazoenda kuzipata kabla ya kumiliki gari yakeHuu uzi unaendelea kumbe
Naona hapo umeelezea upande mmoja hasara pekee jaribu pia kuangalia faida ambazo unaweza kuzipata ukiwa na gari lako mwenyeweNashukuru kutokana na biashara mbalimbali kwenda vizuri nina uwezo wa kununua gari cash toka nikiwa na miaka 22. Sasa nina miaka 25 ila bado sijafanya hivyo kwa sababu kuu mbili. Moja gari itaongeza ugumu katika maisha yangu. Nitahitaji kudeal na vitu kama service na uoshaji. Kufikiria njia zenye foleni na shortcut. Gharama za kutembeza majamaa kwa ajili ya outing ikiwemo matumizi katika hizo outing. Vyote hivi vingefanga maisha yangu yawe na mambo mengi kuliko ninavyohitaji. Badala ya complication hizi natumia zangu daladala pamoja na uber pale inapobidi.
Sababu ya pili ni kuwa pesa ya kutumia katika gari ingenipotezea faida kutokana na biashara au project nyingine. Mfano katika mwaka uliopita 10m katika mfuko wa UTT Liquid Fund inaleta faida ya zaidi ya 1m bila kunyanyua kidole. Gari linashuka thamani dakika hiyohiyo baada ya kulinunua.
Huna pesa ya kununua gari mkuu, huwez tambua faida ya kumiliki gari pia jitahd ununue bodaboda walau naww uende shellNashukuru kutokana na biashara mbalimbali kwenda vizuri nina uwezo wa kununua gari cash toka nikiwa na miaka 22. Sasa nina miaka 25 ila bado sijafanya hivyo kwa sababu kuu mbili. Moja gari itaongeza ugumu katika maisha yangu. Nitahitaji kudeal na vitu kama service na uoshaji. Kufikiria njia zenye foleni na shortcut.
Gharama za kutembeza majamaa kwa ajili ya outing ikiwemo matumizi katika hizo outing. Vyote hivi vingefanga maisha yangu yawe na mambo mengi kuliko ninavyohitaji. Badala ya complication hizi natumia zangu daladala pamoja na uber pale inapobidi.
Sababu ya pili ni kuwa pesa ya kutumia katika gari ingenipotezea faida kutokana na biashara au project nyingine. Mfano katika mwaka uliopita 10m katika mfuko wa UTT Liquid Fund inaleta faida ya zaidi ya 1m bila kunyanyua kidole. Gari linashuka thamani dakika hiyohiyo baada ya kulinunua.
Dunia ya leo tangu tu tulipoianza karne ya 21, Gari limekuwa ni hitaji la msingi kwa kwa kila mtu kama ilivyo nyumba,bima ya afya na mengineyo..Wanajamvi naomba tujuzane kuhusu faida ya kumiliki gari hasa kwa watu wa kipato cha chini wakati huo wakiwa na changamoto nyingi na za msingi zikiwakabili ikiwemo kutokuwa na makazi (nyumba) na bima za afya.
Hujawa na uwezo wa kumiliki gari bado, hizo hasara ulizotaja ni chache sana ukilinganisha na faida.Nashukuru kutokana na biashara mbalimbali kwenda vizuri nina uwezo wa kununua gari cash toka nikiwa na miaka 22. Sasa nina miaka 25 ila bado sijafanya hivyo kwa sababu kuu mbili. Moja gari itaongeza ugumu katika maisha yangu. Nitahitaji kudeal na vitu kama service na uoshaji. Kufikiria njia zenye foleni na shortcut.
Gharama za kutembeza majamaa kwa ajili ya outing ikiwemo matumizi katika hizo outing. Vyote hivi vingefanga maisha yangu yawe na mambo mengi kuliko ninavyohitaji. Badala ya complication hizi natumia zangu daladala pamoja na uber pale inapobidi.
Sababu ya pili ni kuwa pesa ya kutumia katika gari ingenipotezea faida kutokana na biashara au project nyingine. Mfano katika mwaka uliopita 10m katika mfuko wa UTT Liquid Fund inaleta faida ya zaidi ya 1m bila kunyanyua kidole. Gari linashuka thamani dakika hiyohiyo baada ya kulinunua.
Hata Gwajima mzee wa mauno na kuunguruma akipiga bao alisema maneno yanayotaka kufanana na haya..Mimi nilishaapa kwa mungu kabisa kama ye ndo mtoaji magari kwa binaadamu,mi sitaki hata liwe range rover, ila tu kama anagawa pikipiki anipe nzuri na baskeli nzuri, magari chukueni nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyo ni return ya mwaka mzima unapata 1m unapiga vigelegele wewe ni mzma kweli si bora ungechukua fixed deposit kwenye banks aisee😂😂Nashukuru kutokana na biashara mbalimbali kwenda vizuri nina uwezo wa kununua gari cash toka nikiwa na miaka 22. Sasa nina miaka 25 ila bado sijafanya hivyo kwa sababu kuu mbili. Moja gari itaongeza ugumu katika maisha yangu. Nitahitaji kudeal na vitu kama service na uoshaji. Kufikiria njia zenye foleni na shortcut.
Gharama za kutembeza majamaa kwa ajili ya outing ikiwemo matumizi katika hizo outing. Vyote hivi vingefanga maisha yangu yawe na mambo mengi kuliko ninavyohitaji. Badala ya complication hizi natumia zangu daladala pamoja na uber pale inapobidi.
Sababu ya pili ni kuwa pesa ya kutumia katika gari ingenipotezea faida kutokana na biashara au project nyingine. Mfano katika mwaka uliopita 10m katika mfuko wa UTT Liquid Fund inaleta faida ya zaidi ya 1m bila kunyanyua kidole. Gari linashuka thamani dakika hiyohiyo baada ya kulinunua.
Kiufupi bado una kipato cha kuunga unga acha visingizio, mara mafuta mara service....Nashukuru kutokana na biashara mbalimbali kwenda vizuri nina uwezo wa kununua gari cash toka nikiwa na miaka 22. Sasa nina miaka 25 ila bado sijafanya hivyo kwa sababu kuu mbili. Moja gari itaongeza ugumu katika maisha yangu. Nitahitaji kudeal na vitu kama service na uoshaji. Kufikiria njia zenye foleni na shortcut.
Gharama za kutembeza majamaa kwa ajili ya outing ikiwemo matumizi katika hizo outing. Vyote hivi vingefanga maisha yangu yawe na mambo mengi kuliko ninavyohitaji. Badala ya complication hizi natumia zangu daladala pamoja na uber pale inapobidi.
Sababu ya pili ni kuwa pesa ya kutumia katika gari ingenipotezea faida kutokana na biashara au project nyingine. Mfano katika mwaka uliopita 10m katika mfuko wa UTT Liquid Fund inaleta faida ya zaidi ya 1m bila kunyanyua kidole. Gari linashuka thamani dakika hiyohiyo baada ya kulinunua.
Hehe sawa mkuu kipato kimenyooka sasa na ninalo. Advantage zipo ila hayo niliyosema hapo bado yapo.Kiufupi bado una kipato cha kuunga unga acha visingizio, mara mafuta mara service....
Yapo ila sasa unayamudu ndio maana hayajawa tatizo tena na ukamiliki.Hehe sawa mkuu kipato kimenyooka sasa na ninalo. Advantage zipo ila hayo niliyosema hapo bado yapo.
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]ukiwa na hela nzuri sio mbaya ukinunua gari ndogo huku unaendelea na ujenzi wa nyumba yako taratibu...
Ku....t.....m...ea.Wanajamvi naomba tujuzane kuhusu faida ya kumiliki gari hasa kwa watu wa kipato cha chini wakati huo wakiwa na changamoto nyingi na za msingi zikiwakabili ikiwemo kutokuwa na makazi (nyumba) na bima za afya.
Si kweliVehicle is not for everyone.