ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,337
- 7,593
Mwingine tena huyu kakulia kijijini. Bado una akili ya kunywa maji ya majagi!!!!, hata ufanyaje jagi haliwezi kuwa safi kwa kiwango kinachotakiwa.Wakuu naombeni kujua faida/umuhimu wa water dispenser
Nimekuwa nikiziona Tu.
Mtu friji analo na jug la umeme analo Ila bado anataka na water dispenser.
Nini umuhimu wa water dispenser?
1. Water Diapenser inarahisisha kuchukua maji ya kunywa (hapa kwenye dispenser ya fridge hata watoto wanaweka tu kikombe wanachota maji wanakunywa) hakuna biashara ya kumuomba sijui dada awawekee maji ya kunywa.
2. Water dispenser, Maji yanakaa katika hali ya usafi sana (hayaguswi na mtu kama majagi mara mtu aje na mikono yake katoka toileti anashika jagi anashika mfuniko)