QALLI MIZOH
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 2,075
- 698
Kwani nao walikuwa na zana {manati ya mzungu?Mkuu wanasema waliwakimbiza mpk ilipofika sehemu ambapo ikishindikana wao kukimbia, walipoona hivyo wakachomoa bunduki wakaanza kujibizana na askari ndo ikatokea 2 men down
Hiyo 'ZENYU' hapo naona imekaa kisambaa zaidi.Habari zenyu wakuu, juzi juzi hapa zilisambaa habari kuhusu huyu jamaa wakuitwa UDEUDE, msanii na mtunzi wa nyimbo kadhaa za mastaa hapa bongo kwamba alipigwa risasi, akiwa na msanii mwenzake na wote wakapoteza maisha kwa tuhuma za ujambazi huko TANGA, kwanza naomba kujuzwa kama ni kweli na pia nijue hasa nini kilitokea! Yaani inamaana mastaa wetu wanaishi maisha mazuri huku wakifanya mambo mabaya nyuma ya pazia? Tafadhali naomba kujuzwa
aiseee!it is terrible!!Masharo wengi dar ni wezi wa vifaa vya magari kuna cku nimewakosa pale baraka plaza mikocheni......narudi kwenye gari nae ndio anamaliza kufungua mlango wa gari yangu kuna mwenzake akamstua wakakimbialia kwenye gari yao n kuondoka fasta....mana wangefanikiwa kuiba ingekua kilio kwangu
yes!!qchief hizo ndo zilikua mambo zake!itakua aliacha!Mnakumbuka mtoto wa salmin amour rais mstaafu wa zenji....naye alikuwa anasakamwa sana kwA tuhuma za uwizi wa vifaa vya magari
Hata qchief alishaiNGIAA KTK MKUMBO huo pia Ila akajitoaaa alikuwa karibu sana n'a watoto fulani wa migomigo
Ndio maisha wamechagua.....wengi ni vibaka na machokoaiseee!it is terrible!!
ustaa mavi mbaya!
hhahhhaaa!machoko tena!Ndio maisha wamechagua.....wengi ni vibaka na machoko
Yaah sasa wanataka wahame viwanja kwa usiku mmoja mara escape one mara bills mara wapi unategemea kwa uanamuziki uchwara watamudu?hhahhhaaa!machoko tena!
aiseeh!Mungu nusuru vizazi vyetu!Yaah sasa wanataka wahame viwanja kwa usiku mmoja mara escape one mara bills mara wapi unategemea kwa uanamuziki uchwara watamudu?
Inabidi wawe na chanzo kingine cha mapato kama sio wizi basi wana pangiwa nyumba na kaka zao(jina la siri la mamende )na kupakatwa.
Mambo yametamalaki mijini hayo dada yangu kuna vitu ukiambiwa kwanza unapata ganzi hata huyu? tatizo vijana wengi ulimbukeni abadilishe magari ang'oe warembo na kazi hana tena kipindi hiki hawa wakuitwa mesheni town jasho litawatoka kuishi kiujanjaujanja kutapungua.aiseeh!Mungu nusuru vizazi vyetu!
Hiyo avatar yako ni Mr and Mrs daudi?aiseeh!Mungu nusuru vizazi vyetu!
aiseeh!mtu elimu hana,kazi hana,na show off anazitaka!hatari sana!!Mambo yametamalaki mijini hayo dada yangu kuna vitu ukiambiwa kwanza unapata ganzi hata huyu? tatizo vijana wengi ulimbukeni abadilishe magari ang'oe warembo na kazi hana tena kipindi hiki hawa wakuitwa mesheni town jasho litawatoka kuishi kiujanjaujanja kutapungua.
hhhaaahhaaa!!eeehh!na baraka enzi zetu hzooo!!Hiyo avatar yako ni Mr and Mrs daudi?
Umenikumbusha mbali sana my dear the good old days waweza kutamani waqt urudi ubabe na deko jingi unaomba pesa au daftari kwa mkwala unawaambia msiponipa na lishule lenu siendi.hhhaaahhaaa!!eeehh!na baraka enzi zetu hzooo!!
UDEUDE kaandikia baadhi ya mastaa nyimbo mkuu
acha wangu!I wish nirudishe siku nyuma aiseeeh!maana Dah utoto rahaa!!Umenikumbusha mbali sana my dear the good old days waweza kutamani waqt urudi ubabe na deko jingi unaomba pesa au daftari kwa mkwala unawaambia msiponipa na lishule lenu siendi.
Ilikuwa ukimkorofisha sana mzee anakujibu kwa upole nawe utakuwa duh sasa hivi huwa nawaza mzee alikuwa ananiambia maneno makali sana japo kwa upole jinsi watoto wanavyozingua ukimwambia anasema hizi vurugu za hawa hazijafika japo robo za hekaheka zako.acha wangu!I wish nirudishe siku nyuma aiseeeh!maana Dah utoto rahaa!!
hahaaa!acha tu mi nlikua naomba ela ya photocopy na mitihani daily haiishi!tuit silipi nakula nalipia masomo matatu!Ilikuwa ukimkorofisha sana mzee anakujibu kwa upole nawe utakuwa duh sasa hivi huwa nawaza mzee alikuwa ananiambia maneno makali sana japo kwa upole jinsi watoto wanavyozingua ukimwambia anasema hizi vurugu za hawa hazijafika japo robo za hekaheka zako.
na wewe unaamini kuwa wezi wa vifaa vya magari wanaweza kumiliki bunduki?!Mkuu wanasema waliwakimbiza mpk ilipofika sehemu ambapo ikishindikana wao kukimbia, walipoona hivyo wakachomoa bunduki wakaanza kujibizana na askari ndo ikatokea 2 men down