U ubarinolutu JF-Expert Member Joined Oct 22, 2012 Posts 2,424 Reaction score 4,954 Mar 12, 2025 Thread starter #261 Hismastersvoice said: Kumbe mwalimu wangu alikuwa boya, alinifundisha eti mita 1,000 sawa na kilomita moja! Huku nakuta watu wanachimba kisima mita 50,000! Yaani kilomita 5 kwenda chini ya ardhi! JF imenifumbua macho na masikio. Click to expand... nadhani alimaanisha gharama ya kuchimba mita moja ardhini ni TZS 50,000
Hismastersvoice said: Kumbe mwalimu wangu alikuwa boya, alinifundisha eti mita 1,000 sawa na kilomita moja! Huku nakuta watu wanachimba kisima mita 50,000! Yaani kilomita 5 kwenda chini ya ardhi! JF imenifumbua macho na masikio. Click to expand... nadhani alimaanisha gharama ya kuchimba mita moja ardhini ni TZS 50,000