Genio the great
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 298
- 842
Soma hiyo sentence niliyosema nakuongezea halaf utajua kwann nimetumia neno kuzeeka Hali yakuwa kwenye Uzi wako hukutumia neno Hilo.Kuzeeka ni sawa ni normal body physiology ila jiulize kwa nini watu wa umri mmoja speed yao ya kuzeeka ina tofautiana. Wewe na degree yako ya Sosholojia usitake kila mtu awe kama wewe wengine ni degree holder kwenye mambo mengine. Think Critically.
Pili sina hata form 4 maana nngekuwa na hiyo unayoita degree nisingejiuliza swali la mtindo huo ulilouliza wewe