Sisi watazamaji tu. Kuteua siyo kazi. . Kazi kuwasimamia hao mawaziri.Bado naendelea kutafakari nia na malengo mahususi yakutenganisha Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi!
Nafikiri ni ngumu sana kutenganisha hivi vitu viwili yaani Ujenzi pamoja na Uchukuzi! Sijui nini kinakusudiwa ijapokuwa naona bado Waziri ni yuleyule Makame Mbalawa na Katibu wake ni yuleyule Ally Possi kwaiyo wamehama na Bandari zao za kwenye IGA.
Hii nchi ya kijani isha laaniwa huyo sson watu wana mchokaBado naendelea kutafakari nia na malengo mahususi yakutenganisha Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi!
Nafikiri ni ngumu sana kutenganisha hivi vitu viwili yaani Ujenzi pamoja na Uchukuzi! Sijui nini kinakusudiwa ijapokuwa naona bado Waziri ni yuleyule Makame Mbalawa na Katibu wake ni yuleyule Ally Possi kwaiyo wamehama na Bandari zao za kwenye IGA.
Amefanya vizuri ni Wizara kubwa sana,ni kama ilovyokuwaga Nishati na Madini.Bado naendelea kutafakari nia na malengo mahususi yakutenganisha Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi!
Nafikiri ni ngumu sana kutenganisha hivi vitu viwili yaani Ujenzi pamoja na Uchukuzi! Sijui nini kinakusudiwa ijapokuwa naona bado Waziri ni yuleyule Makame Mbalawa na Katibu wake ni yuleyule Ally Possi kwaiyo wamehama na Bandari zao za kwenye IGA.
Uchukuzi ba ujenzi vimekuwa sana kipindi hiki, lazima zitenganishwe kuwa na ufanisi.Bado naendelea kutafakari nia na malengo mahususi yakutenganisha Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi!
Nafikiri ni ngumu sana kutenganisha hivi vitu viwili yaani Ujenzi pamoja na Uchukuzi! Sijui nini kinakusudiwa ijapokuwa naona bado Waziri ni yuleyule Makame Mbalawa na Katibu wake ni yuleyule Ally Possi kwaiyo wamehama na Bandari zao za kwenye IGA.
Ulaji, kuwapa watu ulaji,Bado naendelea kutafakari nia na malengo mahususi yakutenganisha Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi!
Nafikiri ni ngumu sana kutenganisha hivi vitu viwili yaani Ujenzi pamoja na Uchukuzi! Sijui nini kinakusudiwa ijapokuwa naona bado Waziri ni yuleyule Makame Mbalawa na Katibu wake ni yuleyule Ally Possi kwaiyo wamehama na Bandari zao za kwenye IGA.
Sema lengo ni kuwapa watu ulajiUchukuzi ba ujenzi vimekuwa sana kipindi hiki, lazima zitenganishwe kuwa na ufanisi.
Elewa MsogAKwangu binafsi Mama angeamua kuachana kabisa na watu wa "Msoga" na kuja na safu yake mpya angeweze kutoka hapa alipo kuliko kuendelea kuwa na watu wa "msoga"
Yeye anapokea maelekezo, matokeo yake tunakoenda kila idara itakuwa ni wizaraKwangu binafsi Mama angeamua kuachana kabisa na watu wa "Msoga" na kuja na safu yake mpya angeweze kutoka hapa alipo kuliko kuendelea kuwa na watu wa "msoga"
Mara uwekezaji mara sijui nini, akiamka ana amka na wizara mpyaWizara ya Ujenzi ni kubwa sana. Wizara ya uchukuzi nayo kwa sehemu kubwa imeshaenda DP World kupitia mkataka haramu.
[emoji2956]Uchukuzi ba ujenzi vimekuwa sana kipindi hiki, lazima zitenganishwe kuwa na ufanisi.
Huu ujinga mnaorudiarudia wala hauna mantiki....Yeye anapokea maelekezo, matokeo yake tunakoenda kila idara itakuwa ni wizara
Matusi ni mtaji wakoWatu ni wale wale, wanabadirishana tu!
Takataka
[emoji2956]Amefanya vizuri ni Wizara kubwa sana,ni kama ilovyokuwaga Nishati na Madini.
Wizara zote mbili ni nyeti na Zina matilioni ya Shilingi Kwa hiyo kuiacha Kwa mtu mja sio sawa.