Nakuja empirical kidogo, na nitanukuu watu ambao sio scholars, hawakutunga great theories na in fact labda hawakua na utu wowote.
Kuna mmishonari mmoja alienda Congo in 1600s. Alipofika akamuuliza mfalme wa Kongo Empire (Mfalme Nzinga Ankuvu I):
nyinyi mnamuabudu nani?
Nzinga Ankuvu akasema: Tunamuabudu Nzambi.
Mmishonari akasema: Unaja, Yesu ndie Mungu pekee apaswaye kuabudiwa.
Nzinga Ankuvu: Basi Yesu ndie Nzambi
Mmishonari: Na unajuaje Yesu ndio Nzambi?
Nzinga ankuvu: Sababu 'Nzabi nde Nzabi' (Mungu ni Mungu). Huwezi kum-define Mungu, you can only feel him, live him.
Na mimi naona hapa tunaweza kuendelea hadi kesho na tusipati Jibu. Utu ni Utu na mtu akikosa Utu utaona matokeo yake kwa watu wanao mzunguuka. Uki-exercice Utu wako, huwezi kuleta negative effect katika jamii. Social symbioses,peace and harmony will prevail. Utu haupimwi on an individual level, unapimwa kukiwa na watu.
Najua kuna watu watataka kujua what is symbiosies, harmony and peace ila sitajibu. they too are things we can only define through their materialisation.