feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Aisee siku hizi imbombo ngafu.Sio Co tuu mkuu ni course zote chenga tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee siku hizi imbombo ngafu.Sio Co tuu mkuu ni course zote chenga tuu
Hii itatumika kwa vyuo vyote vilivyopo under nacte au kwa hapo maswa tu ?Aisee siku hizi imbombo ngafu.View attachment 1978506
Hii itatumika kwa vyuo vyote vilivyopo under nacte au kwa hapo maswa tu ?
Shida sijui ipo wapi naona mambo yanaanza kuvulugika, maana kuna mdau wangu anasoma c.o tanga nae ameniambia hivyo duuhSijajua kuna dogo alikua akiniuliza kama inawezekana hilo mi sijui ila wakati wetu hakukua na huu upuuzi.
Kua hawaruhusiwi? Nafikiri labda kwa kua March intake wamefutaShida sijui ipo wapi naona mambo yanaanza kuvulugika, maana kuna mdau wangu anasoma c.o tanga nae ameniambia hivyo duuh
Ndio maana taarifa imetumwa na principal wao wa chuo na hii sheria inaanza kutumika kwa matokeo haya ya nacte yatakayo toka ni hatar mkuuKua hawaruhusiwi? Nafikiri labda kwa kua March intake wamefuta
Shida sijui ipo wapi naona mambo yanaanza kuvulugika, maana kuna mdau wangu anasoma c.o tanga nae ameniambia hivyo duuh
Yupo mwaka wa kwanza semester ya pili ndio waliofanya nacte wanasubiri majibu sijui yameshatokaMwaka wa ngapi?
Ila huu uonevu mtu akae mwaka mzima nyumbani kusubiri kimeo 1 aisee hawajafikiria vizuri
ACHA MADOGO WAFAULU KAMA MITIHANI ILIVUJA HILO SIO KOSA LAO NI KOSA LA WATU WA WIZARANI KUVUJISHA.. MWANAFUNZI YEYE KAZI YAKE NI KUFANYA KAMA WIZARA WALISHINDWA KUZIBITI NI KOSA LAO SIO LA WANAFUNZI.....PIA USITEGEMEE ZAIDI KUFAULU MITIHANI YA MAKARATASI TU KWA SABABU PAMOJA NA KUWA MITIHANI YA MAKARATASI (THEORY) ILIVUJA PIA WALIKUWA NA MITIHANI YA PRACTICAL WODINI(CLINICAL EXAM)Vijana wengi sana siku hizi wanafaulu kwa kuiba mitihani ama kufaulishwa na wakufunzi. Unakuta vijana wa CO zaidi ya 50 wana GPA ya 4.5. How come?! Na kichwani weupe mno.
Natamani wizara ifanye kitu kuhusu hawa waganga tarajali kwa afya zetu.
upewe uwaziri wa elimu basi make unajikuta unajua kuwazidi hao wenye taaluma zao walopanga hizo qualification, PST unaijua vzuri ama unaongea kwa uzoefu wa mtaani unalaumu qualification ya bios na chem ukitaka iwekwe na phy! labda ni kwambie phy haina implication yoyote kweny hiyo coz basic ni chem & bios ndio knowledge kubwa kwa pst then unalalamika hesabu, hesabu za pharmacy ni zle zilizosomwa kweny chem na zinatumika kidogo sana kweny somo moja tu la compound sasa ww unataka overloaded cjui zann ili mtu aonekane alikua jiniaz ama hzo qualification zmepangwa kiprofessional kabsa na kwa mtazamo mpana ww huwez kuelewaEntry qualification za hovyo sana kwa diploma ya pharmacy et D pass mbili!!! ...na huu mchezo wa kushusha qualification wakijua kabisa wanaodahiliwa hawana uwezo wa ku-undertake coz husika umeanza baada ya private nyingi kuanza kutoa mafunzo haya tofauti na ilivyo kuwa zaman vyuo vingi vilikuwa gvt ...now days watu wamechangamka kufungua vyuo tu vya afya wakatafuta njia ya kupata wanafunz wengi kupitia kushusha qualifications wanapiga pesa za ada kabla ya end of semester vijana wanafail tu...just imagine unakuta 50% of class discontinue.. Hata utabibu ebu imagine mtu anaenda kusoma utabibu kwa D nne ikiwemo ya biology wakat ukifikiria kwa haraka O-level somo linalohusika kidogo na sayans ya mwili wa binadamu ni hilo..basi walau hata mwanafunz wa utabibu awe na C,, .
ILA ALL IN ALL WIZARA IWE FAIR KWA WOTE NURSING WAKIPATA 5.0 DARASA ZIMA NI KAWAIDA ILA PHARMACY & CO NDO KUNA TATIZO!!! HII HAPANA WANAJENGA NOTION YA UBAGUZI NA KUCHUKIANA KATIKA TRAINING..PIA WAPITIE UPYA VIGEZO VYA UDAHILI KWA WATARAJALI WAPYA..
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Baada ya mtihan kurudiwa limezuka gumzo lingine tena kutoka huko wizaran na Nacte waķielekeza kwamba wanafunz walopata supplementary ktk matokeo haya mapya hawatatakiwa kuendelea na masomo ya mwaka wa mwisho wasubiri mpaka mwezi wa8 jambo ambalo litafanya watu kupoteza mwaka mzima bila sababu za msingi na wakat utaratibu ni kwamba baada ya matokeo ya kwanza kutolewa kwa wale walioteleza hupewa nafasi ya kufanya mitihani ya marudio ili kuendelea na wengine ikishindikana ku-clear baada ya mtihan wa marudio ndo mambo ya kurudia mwaka yanakuwepo...lakin kwasasa imekuwa tofaut..Sifa na Utukufu ni Mali ya Mungu wetu, Naliinua na kulitukuza Jina lako sasa na hata milele.
Moja kwa mbili kwenye mada, Wadau wa elimu, afya na vyuo vya utabibu na Nacte, ninawauliza je, ni Nini hatima ya vijana wa Utabibu mwaka wa pili (Nta level 5) kwa mwaka 2021? Maana Nta 4 na 6 wote wamepata matokeo yao.
Vijana hawa ndio wanatakiwa wamalize NTA LEVEL 6 (DIPLOMA) mwaka huu 2021/2022, ili watuhudumie.
Level 5 ni ya kibabe sana, isikie tu PharmacognosyBado kuna hao Pharmacy NTA level 5 sijui, nchi nzima matokeo yamepinda. Nina girlfriend wangu uko juzi kilio tu
L5 ni hatari saana.Level 5 ni ya kibabe sana, isikie tu Pharmacognosy
Kinachouma zaid supp anarudia mwakaDah! Kuna chuo wame pass 25, Zingine Repeat na Supp.
Nilikuwa silijui hili.Kinachouma zaid supp anarudia mwaka
L5 ni hatari saana.
Duh!... huku kukomoana sasaKinachouma zaid supp anarudia mwaka
Ni hatari sana , Kwahiyo waliopata Supp wanasubiri mwezi wa 8.Duh!... huku kukomoana sasa