Mpyena
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 981
- 1,243
1.Nyerere day
2.Mkapa day
3.Magufuli day
Mfano: wafuatao nao wakiaga dunia kutakuwa na:-
4.Mwinyi day
5.Kikwete day
6.Samia day ....nk
Hivyo basi ili kuondoa kusiwe na siku nyingi sana za mapumziko.
Wazee wetu hao wote kwa pamoja,watakumbukwa siku ya uhuru wa Tanganyika.
Au siku ya mashujaa itakuwa pia maalum kwa kumbukizi ya hao wazee wetu.
2.Mkapa day
3.Magufuli day
Mfano: wafuatao nao wakiaga dunia kutakuwa na:-
4.Mwinyi day
5.Kikwete day
6.Samia day ....nk
Hivyo basi ili kuondoa kusiwe na siku nyingi sana za mapumziko.
Wazee wetu hao wote kwa pamoja,watakumbukwa siku ya uhuru wa Tanganyika.
Au siku ya mashujaa itakuwa pia maalum kwa kumbukizi ya hao wazee wetu.