Nini hatima ya Nyerere Day? Lini mwisho wake?

1.Nyerere day
2.Mkapa day
3.Magufuli day
Mfano: wafuatao nao wakiaga dunia kutakuwa na:-
4.Mwinyi day
5.Kikwete day
6.Samia day ....nk

Hivyo basi ili kuondoa kusiwe na siku nyingi sana za mapumziko.

Wazee wetu hao wote kwa pamoja,watakumbukwa siku ya uhuru wa Tanganyika.
Au siku ya mashujaa itakuwa pia maalum kwa kumbukizi ya hao wazee wetu.
 
Wewe kweli ni Kasomi.


Legacy never die. Tatizo we unamtizama Nyerere. Wenzio wana enzi na kuishi legacy yake
 
Nyerere day
Kawawa day
Sokoine Day
Karume Day
Mkapa Day
Magufuli day

Tuongeze na wengine ili siku za mapumziko ziwe nyingi....alisikika mtumishi mmoja wa serikali akiomba.
 
Wewe kweli ni Kasomi.


Legacy never die. Tatizo we unamtizama Nyerere. Wenzio wana enzi na kuishi legacy yake
Nimekuelewa mkuu sababu zilizonifanya kuanzisha uzi ni kwamba lini itakuwa mwisho? Ina Maana hata miaka 3000 mbele atazidi kuazimishwa yaani mfano mwaka 5000
 
Kweli wao tutawakumbuka kwa siku moja ila huyu Muasisi yeye atakuwa na siku yake special
 
Nyerere day
Kawawa day
Sokoine Day
Karume Day
Mkapa Day
Magufuli day

Tuongeze na wengine ili siku za mapumziko ziwe nyingi....alisikika mtumishi mmoja wa serikali akiomba.
Duh hapo na bado zitaongezeka na days zingine
 

Ninawakubali sana Hayati Mkapa na Mzee Mwinyi kwa sababu walikuwa na sera za kibepari zenye kuleta tija kwa Taifa. Hata Kikwete alifanya vyema.

Siwakubali Nyerere na Magufuli kwa sababu sera zao za kijamaa zilikuwa hasara kwa Taifa na hazikuleta tija zaidi ya mateso na vilema vya kiuchumi kwa nchi.

Samia ni mzuri pia kwa sababu ana itikadi za akina Mwinyi, Mkapa na Kikwete
 
Nimekuelewa mkuu sababu zilizonifanya kuanzisha uzi ni kwamba lini itakuwa mwisho? Ina Maana hata miaka 3000 mbele atazidi kuazimishwa yaani mfano mwaka 5000
Legacy inaishi historia haiwezi futika
 
Jifunze lugha kwanza ndo ujadili mambo usiyoyaweza wewe dogo! Ni kuadhimishwa na siyo "kuazimishwa"! Nikisha ona hivyo huwa najua wewe ni product ya shule na vyuo vya kata! Weupeee vichwani !
 
Jifunze lugha kwanza ndo ujadili mambo usiyoyaweza wewe dogo! Ni kuadhimishwa na siyo "kuazimishwa"! Nikisha ona hivyo huwa najua wewe ni product ya shule na vyuo vya kata! Weupeee vichwani !
Yaani nyinyi mlio soma shule za kubebwa na magari ya njano ndio hakuna kitu kabisa.
Kazi kubebwa tu.
 
Wanamkumbuka vyema

Hakuna cha vyema apo,,,cpendi kuona wa2 wakinyanyacka na kuzulumiwa,,,hizo national housing inasemekana wahindi walijenga kwa hela zao babu akazitaifisha, ni mdini, hakuwa akiwapenda waisilamu. Hii ki2 mimi imenikera munoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…