papaayenga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 765
- 503
Haina mwisho , mpaka Tanzania isipokuepo,na hiyo sio kwetu tu,,mataifa mengi kama China , Korea n.k wanafanya hivyo
Haina mwisho , mpaka Tanzania isipokuepo,na hiyo sio kwetu tu,,mataifa mengi kama China , Korea n.k wanafanya hivyo
Kweli lakini maana huwezi pendwa na woteHakuna cha vyema apo,,,cpendi kuona wa2 wakinyanyacka na kuzulumiwa,,,hizo national housing inasemekana wahindi walijenga kwa hela zao babu akazitaifisha, ni mdini, hakuwa akiwapenda waisilamu. Hii ki2 mimi imenikera munoo.
Huwa nakaa chini nafikiria sana juu ya Hatima yaani mwisho wa kumkumbuka au kumbukumbu ya Nyerere.
Leo inatimia miaka 22 bila Mwalimu tangu alipo tutoka tarehe na mwezi kama wa leo mnamo Mwaka 1999.
https://www.facebook.com/
Maswali yangu juu ya Hatima hii leo imetimia miaka 22 pasipo kuwa na Nyerere.
Je, Mwaka gani utakuwa ni mwisho wa kumkumbuka ya Mwalimu? Je, hata miaka 2000 inayo tutaendelea kuwa na Nyerere Day au itakuja kufa.
Na je, kipi kinaweza kufanya Nyerere Day ikome kuadhimishwa?
Najua hapa wapo wenye IQ kubwa kama Zero IQ na Pia wapo wenye IQ ndogo kama Mimi. Hivyo kwa wenye IQ ndogo kama Mimi huenda wakapuuza nankuponda juu ya andiko hili.
Lakini kwa ndugu zangu mlio salia pengine mnaweza share chochote juu ya Hatima ya Nyerere Day na kuoendekeza je, huenda Mwaka/miaka gani inaweza kuwa Hatima ya Nyerere Day na sababu gani zinaweza fanya Nyerere Day ikome.
Maana sizani kama Nyerere Day itaadhimishwa miaka yote na sizani hata miaka 2000 au 3000 ijayo watu wataendelea kuadhimisha siku hii.
Je, nini Hatima ya Nyerere Day?
Tujuze mkuu kivipi?
Kweli lakini maana huwezi pendwa na wote
Kwa sasa hakuna wala hatakuja kiongozi ambae hana upendeleo sehemu moja kwa namna moja au nyingine.Kiongozi yoyote anaetenda haki bila kujari udini, utaifa wa mtu, ukabila huyu ndiye anafaa kuitwa kiongozi. Refer historia ya Ertugrul ambayo ni true stoty, akiwatendea haki waisilamu wenzie na waco waisilamu, (haki ni haki tuu) hakuna zulma, unyanyasaji wala mauwaji kwa waco na hatia. kama unaifuatiria vyema utagundua viongozi wetu bado sana kufika huko. Mama samia tunamuombea heri Mungu amuongoze katika majukumu yake, ni mama asiye na makuu na mutu.
Dah ngoja tuendelee kufunga mikandaKuingiza Tanzani katika vita na Ungada ili Rafiki yake Obote arudi Madarakani baada ya kupinduliwa pale ndipo maisha yalibadilika mpaka leo alitwambia TUFUNGE MIKANDA MIEZI 18 mpaka leo haijamalizika bado twaufunga mkanda tunasubiri atakaposema tufungue mkanda.
Sawa chifu,,nikutakie ucku mwema.Kwa sasa hakuna wala hatakuja kiongozi ambae hana upendeleo sehemu moja kwa namna moja au nyingine.
Hata Samia nae analaumiwa hivyo hivyo
Siku za kuishi mwanadamu hazina formula.Samia day
Majaliwa day
Mpango day n.k
Yaani tutakuwa tunapumzika tuuuuu
Hii siku ipo tu labda pale kiongozi mwehu akichukua nchi aifuteHuwa nakaa chini nafikiria sana juu ya Hatima yaani mwisho wa kumkumbuka au kumbukumbu ya Nyerere.
Leo inatimia miaka 22 bila Mwalimu tangu alipo tutoka tarehe na mwezi kama wa leo mnamo Mwaka 1999.
https://www.facebook.com/
Maswali yangu juu ya Hatima hii leo imetimia miaka 22 pasipo kuwa na Nyerere.
Je, Mwaka gani utakuwa ni mwisho wa kumkumbuka ya Mwalimu? Je, hata miaka 2000 inayo tutaendelea kuwa na Nyerere Day au itakuja kufa.
Na je, kipi kinaweza kufanya Nyerere Day ikome kuadhimishwa?
Najua hapa wapo wenye IQ kubwa kama Zero IQ na Pia wapo wenye IQ ndogo kama Mimi. Hivyo kwa wenye IQ ndogo kama Mimi huenda wakapuuza nankuponda juu ya andiko hili.
Lakini kwa ndugu zangu mlio salia pengine mnaweza share chochote juu ya Hatima ya Nyerere Day na kuoendekeza je, huenda Mwaka/miaka gani inaweza kuwa Hatima ya Nyerere Day na sababu gani zinaweza fanya Nyerere Day ikome.
Maana sizani kama Nyerere Day itaadhimishwa miaka yote na sizani hata miaka 2000 au 3000 ijayo watu wataendelea kuadhimisha siku hii.
Je, nini Hatima ya Nyerere Day?
Hivi unaelewa ulichoandika au ulikuwa umesinzia?Huwa nakaa chini nafikiria sana juu ya Hatima yaani mwisho wa kumkumbuka au kumbukumbu ya Nyerere.
Leo inatimia miaka 22 bila Mwalimu tangu alipo tutoka tarehe na mwezi kama wa leo mnamo Mwaka 1999.
https://www.facebook.com/
Maswali yangu juu ya Hatima hii leo imetimia miaka 22 pasipo kuwa na Nyerere.
Je, Mwaka gani utakuwa ni mwisho wa kumkumbuka ya Mwalimu? Je, hata miaka 2000 inayo tutaendelea kuwa na Nyerere Day au itakuja kufa.
Na je, kipi kinaweza kufanya Nyerere Day ikome kuadhimishwa?
Najua hapa wapo wenye IQ kubwa kama Zero IQ na Pia wapo wenye IQ ndogo kama Mimi. Hivyo kwa wenye IQ ndogo kama Mimi huenda wakapuuza nankuponda juu ya andiko hili.
Lakini kwa ndugu zangu mlio salia pengine mnaweza share chochote juu ya Hatima ya Nyerere Day na kuoendekeza je, huenda Mwaka/miaka gani inaweza kuwa Hatima ya Nyerere Day na sababu gani zinaweza fanya Nyerere Day ikome.
Maana sizani kama Nyerere Day itaadhimishwa miaka yote na sizani hata miaka 2000 au 3000 ijayo watu wataendelea kuadhimisha siku hii.
Je, nini Hatima ya Nyerere Day?