Nini hatima ya Ofisi ya Spika iliyojengwa Urambo?

Fanyeni utaratibu ihamishiwe makao makuu dodoma itapunguza gharama za majengo mapya ya sirikali. Na shauri muongee na rafiki zenu wa china labda wamegundua teknologia ya kuhamisha mjengo uliokamilika. Nchi hii bwana ina mambo ya ajabu ajabu, eti ofisi ndogo ya spika.
.
Na washawasha!
 
Tunajadili hili kwa sababu mzee wetu sita katutoka ila kama tutakuwa na uwanja wa ndege mkubwa na hakuna ndege ya kutua tutageuza kuwa kitu gani?
Uwanja wa mpira hapa Tanzania hakuna jambo gumu
 
Mkuu uko Nchi gani wewe? Mzee Sitta alijenga Ofisi ya Spika Jimboni mwake mpaka leo sijui huyu Mzee alikuwa anafikiri nini, lakini ndivyo Viongozi wa Afrika walivyo maana hata Gaddaffi alijenda Makao makuu ya AU kjiji kwao Siirte
kweli kabisa......mambo ya Gbadolite
 
View attachment 433171 View attachment 433169 Huyu mhe (rip) alijenga ofisi ya spika jimboni kwake urambo,inatumika kwa shughuli gani?

napendekeza ifanywe dispensary au itafutiwe matumizi mengine ya umma
Nini kilimfanya aijenge kwao? aliamini atakuwa speaker milele?
na kama alijua hata kuwa speaker milele alikuwa anasisitiza kila atakaechaguliwa kuwa speaker ajenge ofisi za speaker wa bunge kwao.
Alikuwa na matumizi mabaya ya fedha za umma,
 
Kwanini umeibua hii hoja baada ya yeye kufariki?
 
Engine na Rejeta la Gari lako na Gauge Temperature ya Gari lako vikiwa juu, ina maana Gari lako lina Over Heat. Sasa jawabu na Solution yake ya haraka ni KUPOOZA ENGINE.


 
maswali magumu
 
Ni ajabu na aibu urambo ni choka mbaya sasa sijui wananchi wananufaika vipi na ofisi hii labda waigeuze makumbusho ya spika inaweza kuingiza pesa kupitia utalii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…