Muuza viatu
JF-Expert Member
- May 14, 2020
- 3,840
- 7,920
Wengi wetu siku hizi tunahifadh pesa ktk mitandao ya simu au ktk mabenki tena muda mwingine unakuta hifadhi hiyo inakuwa ya siri hata familia na marafiki hawajui.
Hili kisheria linakuaje inapotokea muhusika wa akaunti husika anapokaa muda mrefu bila ya akaunti yake kutumika kwa namna yoyote ile kuna namna taasisi husika inapaswa kufanya ili kujua hatma ya mteja wao au hata ikitokea ikabainika amefariki kuna namna wanalazimishwa kuwarudishia warith stahili za mpendwa wao?
Hili kisheria linakuaje inapotokea muhusika wa akaunti husika anapokaa muda mrefu bila ya akaunti yake kutumika kwa namna yoyote ile kuna namna taasisi husika inapaswa kufanya ili kujua hatma ya mteja wao au hata ikitokea ikabainika amefariki kuna namna wanalazimishwa kuwarudishia warith stahili za mpendwa wao?