Unknown philosopher
Member
- Sep 3, 2022
- 40
- 90
Habar wana jamii nauliza. Je, covid 19 imeishia wap naona wale wazungu walokua wanaweka lockdown leo wana socialize kawaida je ni kwambo covid ipo au ilikua ni siasa tuuh
Na cha kushangaza zaidi ipo china ambapo marekani huamin ndo ilipotea
.....let us discus this thread
Na cha kushangaza zaidi ipo china ambapo marekani huamin ndo ilipotea
.....let us discus this thread