Nini hatma ya kuwa na mchepuko?

Nini hatma ya kuwa na mchepuko?

Unadhan michepuko wanajisikiaje wakiona hii habari jamani.

Unakuwa single mother hapo hapo mchepuko, ukizama tu Jf unaumwa tumbo la kihara.

Maana siyo kwa comments hizi
 
Mkuu, hatima ya mchepuko ni pale atakapopata mwenza. Asipompata mwenza wake basi tegemea kuwa ni wewe na yeye mtakwenda down to wire, yaani kifo kitawatenganisha.
Kunaweza kuwa na ukweli,je ikitokea wewe humuhitaji tena hapo inakuwaje?
 
Unadhan michepuko wanajisikiaje wakiona hii habari jamani.

Unakuwa single mother hapo hapo mchepuko, ukizama tu Jf unaumwa tumbo la kihara.

Maana siyo kwa comments hizi
Ni bora wajue mapema,kwa sababu kuna wengine wako tayari kufanya mapinduzi ya ndoa
 
Usije ukakurupuka kuwa na mchepuko hakikisha una sababu inayoeleweka ya kukufanya uwe na mchepuko..

Baada ya kuoa na kuishi na mke Kwa miaka kadhaa zikaanza vurumai ndani zisizo na kichwa wala miguu,. Mara mtu anune wiki nzima, kibri na majibu ya kunya..

Kwakuwa wengne shughuli zetu ni usiku na mchana basi wakat mwingne hata tunda ikawa shida nikaona isiwe taabu..

Nikamtafuta niliyemuona ananifaa nikaanza kudate naye sina hatma naye yoyote zaidi ya tutakapoishia.

Lakn ni mtu tunayeweka mipango mizuri ya maisha hayupo kwaajili ya kunichuna ila mikakati ya maendeleo zaidi ipo ya kusaidiana kwenye familia.. Heshima nyumban ilisharudi maana niliamua kuwa ntakuwa nalala nje hata Kwa wiki na nikirudi sihitaji sex naye..

Akili yote ilikuwa Kwa mchepuko..

Wanawake wanajisahau kuwa wakiolewa wanadhani ndio wamemaliza dawa yao ni kuwapandisha vyeo hata visivyo rasmi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom