Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Ngoja na mie nitafute maana dah comments za wadau zinashawishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja na mie nitafute maana dah comments za wadau zinashawishi
VIP kuhusu Magonjwa au Ndoa kuharibika? Au ndoa kupoteza heshima yake au watoto kuishi maisha mabovu au watoto kuteseka lakini wewe unasema hakuna hatma yoyote
Ngoja na mie nitafute maana dah comments za wadau zinashawishi
Mi hayo hayanihusu. Am just having fun litakalotokea litasoviwa kwa muda wakeVIP kuhusu Magonjwa au Ndoa kuharibika? Au ndoa kupoteza heshima yake au watoto kuishi maisha mabovu au watoto kuteseka lakini wewe unasema hakuna hatma yoyote
Wataka kufaidi mwenyewe
Hii hatari mkuuAisee kuna video nimeiona leo inasambaa jmn huko. Mwanamke kamkamata mchepuko. Kamtafutia wanaume watatu mmoja mbele mwingine nyuma the other mdomoni binafsi nilimuonea huruma huyo mdada.
Swali kwa wanaume imagine unasikia mke wako kamfanyia mchepuko issue kama hiyo? Ungemtafsirije? Ungemuuliza?ungeendelea kumpenda? Ungemchukia auu.......nahitaji tu maoni kutoka kwa wanaume just curious to know.
Nipe jibu kuhusu hilo swalii nahitaji maoni yakoHii hatari mkuu
Nitajua amefanya vile kwa sababu ya hasiraNipe jibu kuhusu hilo swalii nahitaji maoni yako
SawaNitajua amefanya vile kwa sababu ya hasira
Sawaaa, hila be ready for matekeo....manake utavuna ulichopandaLadha ya pipi ni kula bila ganda
Duuuh kweli Nimeamini tunatofautiana maana impact yake imefanya mambo mengi kuharibika watoto wa mitaani,yameleta watu kuteseka,kujuta,yamesababisha maisha magumu na ya majuto makubwa,watu kuharibika kisaikolojia, in short ni balaa so sio funMi hayo hayanihusu. Am just having fun litakalotokea litasoviwa kwa muda wake
Wanaume wakiacha kuchepuka dunia itakuwa sehemu nzuri ya kuishi. Wahubirie wenzako waache..wanasema ni nature yao wameumbwa hivyo.Duuuh kweli Nimeamini tunatofautiana maana impact yake imefanya mambo mengi kuharibika watoto wa mitaani,yameleta watu kuteseka,kujuta,yamesababisha maisha magumu na ya majuto makubwa,watu kuharibika kisaikolojia, in short ni balaa so sio fun
Na kweli ila sio wote,yani upon sahihi hao bado hawajajitambua na hawajielewa bado sio kwamba nawatukana ila ndo ukweli huoWanaume wakiacha kuchepuka dunia itakuwa sehemu nzuri ya kuishi. Wahubirie wenzako waache..wanasema ni nature yao wameumbwa hivyo.
niko imara bibi,kinga muhimu ila habari ya kukojoa nje hiyo ni sawa na kupiga nyeto