Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Mtalogwa nyie...endeleeni kuhangaika.Katika Maajabu ya 8 ya dunia ni Mwanamke akijua yuko peke yake anakudharau .Adui wa mwanamke ni mwanamke.kwa iyo kazi ya mchepuko ni kuirefresh ndoa tu.
Wakati sisi tumerogwa na mchepuko nyie ndo mnatimiza majukumu yenu kikamilifu maana unajua kuna mchepuko unachapa kazi kweli kweli ila uhakikisha unakuovertake na ww hukubali kushindwa apo ndo tunapoishi kifalme kwa mshahara wa buku 5 tu.
na si unajua ndoano ina manufaa gani?kama huna ndoano kaa mbali na shughuli za uvuviNi kipozeo cha ndoa hujui kuwa ndoa ni ndoano..!
Huu ndiyo tunauita mchepuko lami, siyo kama Ile kokoto, vumbi na tope...πππππmchepuko sharti uwe independent yaan anaweza kujisimamia kwa asilimia kubwa. ukichukua jobless ulete na zile pigo za kumpangia chumba utakufa mapema.
Ikitokea katika mahusiano yenu mtoto akapatikana,hapo inakuwaje?Mchepuko ni kama plan b au kipozeo tuu...mtaishia mtakapo ishia tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunaweza kuwa na ukweli,je ikitokea wewe humuhitaji tena hapo inakuwaje?Mkuu, hatima ya mchepuko ni pale atakapopata mwenza. Asipompata mwenza wake basi tegemea kuwa ni wewe na yeye mtakwenda down to wire, yaani kifo kitawatenganisha.
Ni bora wajue mapema,kwa sababu kuna wengine wako tayari kufanya mapinduzi ya ndoaUnadhan michepuko wanajisikiaje wakiona hii habari jamani.
Unakuwa single mother hapo hapo mchepuko, ukizama tu Jf unaumwa tumbo la kihara.
Maana siyo kwa comments hizi
Kama humuhitaji itabidi umwambie kuwa inamuacha for good na sababu ziwepo au achana naye bila kumwambia ila jiandae kwa linaloweza kutokea yaani vita.Kunaweza kuwa na ukweli,je ikitokea wewe humuhitaji tena hapo inakuwaje?
Mchepuko lamiHuu ndiyo tunauita mchepuko lami, siyo kama Ile kokoto, vumbi na tope...πππππ
ha ha ha vita gani tena?Kama humuhitaji itabidi umwambie kuwa inamuacha for good na sababu ziwepo au achana naye bila kumwambia ila jiandae kwa linaloweza kutokea yaani vita.
Baadaye iweje mkuu
Ataharibu nyumbani, yaani atatafuta wasaa aje kujitambulisha.ha ha ha vita gani tena?
Nimekuelewa mkuuUsije ukakurupuka kuwa na mchepuko hakikisha una sababu inayoeleweka ya kukufanya uwe na mchepuko..
Baada ya kuoa na kuishi na mke Kwa miaka kadhaa zikaanza vurumai ndani zisizo na kichwa wala miguu,. Mara mtu anune wiki nzima, kibri na majibu ya kunya..
Kwakuwa wengne shughuli zetu ni usiku na mchana basi wakat mwingne hata tunda ikawa shida nikaona isiwe taabu..
Nikamtafuta niliyemuona ananifaa nikaanza kudate naye sina hatma naye yoyote zaidi ya tutakapoishia.
Lakn ni mtu tunayeweka mipango mizuri ya maisha hayupo kwaajili ya kunichuna ila mikakati ya maendeleo zaidi ipo ya kusaidiana kwenye familia.. Heshima nyumban ilisharudi maana niliamua kuwa ntakuwa nalala nje hata Kwa wiki na nikirudi sihitaji sex naye..
Akili yote ilikuwa Kwa mchepuko..
Wanawake wanajisahau kuwa wakiolewa wanadhani ndio wamemaliza dawa yao ni kuwapandisha vyeo hata visivyo rasmi
Sent using Jamii Forums mobile app
Inamaana hujawai kujua maana ya mchepuko??ha ha ha kwa hiyo unamaanisha ni part time kwa muda maalumu?