Pamoja na hayo Ile uwanja ni mkubwa kuliko mahitaji.Chattletown ni tourist destination mkuu yenye vivutio kama Chattle game reserve
Umenikumbusha kilichotokea Gbadolite baada ya Mobutu Sesseseko wa Zaire kufurushwa madarakani, pamebaki magofu matupu na mapango ya fuko. Yetu macho na masikio, muda utaongeaMaswali tu kwa miradi ambayo wengi waliona ni kama ya kijipendekeza kwa mpedwa
1. Je uwanja wa ndege Chato utakuwa na wateja wa kutosha
2. Hotel ya Tanapa wanayojenga ya nyota tatu je watalii watakuja?
3. Uwanja wa mpira mkubwa unaojegwa je kitakuwa na timu?
Wengi tuna wasiwasi na haya. Kuna wilaya nyingi sana nafikiri zina zidi Chato mfano wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Babati mkoani Manyara ..... na mingineyo ambayo ingetakiwa kuwa na uwanja wa ndege. Inabidi tuangalie miradi
Binafsi nadhani ndoto kubwa ya Dkt Jiwe ilikuwa ni kutransform Chattletown kuwa Manispaa na baada ya miongo michache liwe jiji. Katika muhula wake huu wa pili ndio alipanga kufanya uwekezaji mkubwa wa miundo mbinu hasa zile barabara za trade routes ili kuvutia wakazi wengi wa mikoa jirani kuhamia Chattletown kufanya uwe mji wa kibiashara na uliochangamka zaidi.Pamoja na hayo Ile uwanja ni mkubwa kuliko mahitaji.
Kumbuka pia kuwa hiyo Burigi bado ni changa sana kuweza kuwavutia watalii
itakayo endelea labda ile hospital tu wale wanyama wahuni watawawinda wote hadi waisheHiyo miradi haina maana kwa taifa lenye usawa
hadi national housing wakaanza kuuza viwanja pembeni ya ziwa kwa laki sita binafsi nilivutuwa ila soon kunaenda kuwa pori la akibaBinafsi nadhani ndoto kubwa ya Dkt Jiwe ilikuwa ni kutransform Chattletown kuwa Manispaa na baada ya miongo michache liwe jiji. Katika muhula wake huu wa pili ndio alipanga kufanya uwekezaji mkubwa wa miundo mbinu hasa zile barabara za trade routes ili kuvutia wakazi wengi wa mikoa jirani kuhamia Chattletown kufanya uwe mji wa kibiashara na uliochangamka zaidi.
Haya maswali yatajibika kwa vitendoMaswali tu kwa miradi ambayo wengi waliona ni kama ya kijipendekeza kwa mpedwa
1. Je uwanja wa ndege Chato utakuwa na wateja wa kutosha
2. Hotel ya Tanapa wanayojenga ya nyota tatu je watalii watakuja?
3. Uwanja wa mpira mkubwa unaojegwa je kitakuwa na timu?
Wengi tuna wasiwasi na haya. Kuna wilaya nyingi sana nafikiri zina zidi Chato mfano wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Babati mkoani Manyara ..... na mingineyo ambayo ingetakiwa kuwa na uwanja wa ndege. Inabidi tuangalie miradi
Kuna watu humu kaka n wajuaji Sana,hakna MTU hata mmoja kweny hali y kawaid akafanikiwa akapasahau kwao hayupo na utakua n mpumbafu tu,hata huyo anaye raise hapa lazima ukpat nafasi upajali kwenu angali walipita na chato haikua kipaumbele walitaka nani aisemee,Miradi haitakufa
Miradi haitakufa
Miradi haitakufa.
Sometimes upinzani hukosa maana kabisa, miradi ya chato iko Tanzania hamjakatazwa kuitumia.
Lakini kila siku ni makelele chato,chato,chatoooo.....so what?
Kama hifadhi za Burigi -Chato zitaendelea kuwepo, uwanja utapata wateja na hoteli itajaa wageni. Lengo la kuanzisha hotel na uwanja wa ndege ni kwa ajili ya watalii wanaotembelea kwenye hifadhi hizo na kutoa huduma maeneo ya jirani. Waliomshauri mzee walijua ni kwa namna gani miundombinu hii inategemeana ili kutimiza lengo moja - UTALIIJe uwanja wa ndege wa chatou utakuwa na faida kwa taifa?
Nani na abiria wapi watatumia huo uwanja wa ndege?
Hiyo Hotel itapata wapi wateja?
Acha kupotosha miradi yote ni ya kimkakati...wapinzani hawapingi miradi yote inayojengwa chato, isipokuwa ile yenye sura ya kifisadi, isiyokuwa na kichwa wala miguu.
Sawa kwa mawazo yako mkuu lkn ukweli utabakia umesimamaKama hifadhi za Burigi -Chato zitaendelea kuwepo, uwanja utapata wateja na hoteli itajaa wageni. Lengo la kuanzisha hotel na uwanja wa ndege ni kwa ajili ya watalii wanaotembelea kwenye hifadhi hizo na kutoa huduma maeneo ya jirani. Waliomshauri mzee walijua ni kwa namna gani miundombinu hii inategemeana ili kutimiza lengo moja - UTALII
Aisee!!Jamaniiii huyu baba ameniumaaaaaa, achilia mbali mambo ya siasa huyu ni mtoto wa mtu, ana mama jamani, mama yake ni mzeee sana[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] mama yake atalia sana, huyu sio Rais tu bali ni mtoto wa mtu. Ana familiya ana watoto.
Sasa kama mimi nalia hivi huko familiya yake wana hali gani? Kifo ni fumbo. Mungu mpokee huyu mtoto kama sisi tulivyozaliwa.
Acha kupotosha miradi yote ni ya kimkakati.
Apumzike anapo stahili.