Nini hatma ya Muba na John wa kipindi cha Mkasi?

Nini hatma ya Muba na John wa kipindi cha Mkasi?

screpa

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2015
Posts
10,857
Reaction score
15,866
Kama tunavyoona Salama ameanza kuhost kipindi kipya cha Ngazi Kwa Ngazi na kuachana na kile cha awali cha Mkasi, ningependa kujua hatma ya hawa vijana wengine John na Muba waliokuwa wakiendesha kipindi pamoja na Salama, au wamerudi kwenye kazi yao ya kunyoa?
mkasi.jpg
 
Kama tunavyoona Salama ameanza kuhost kipindi kipya cha Ngazi Kwa Ngazi na kuachana na kile cha awali cha Mkasi, ningependa kujua hatma ya hawa vijana wengine John na Muba waliokuwa wakiendesha kipindi pamoja na Salama, au wamerudi kwenye kazi yao ya kunyoa?View attachment 402006
si wanaendelea kunyoa watu nywele na kuwaosha miguuu, au? ndo ilikuwa kazi yao.
 
Kitu cha muhimu ni kuwa wameshakuwa well known to the public as presenters, watapata tu fursa, mjini ujanja kupata si kuwahi.
Kujulikana(unavyomaanisha), It doesn't guarantee at all, sa hivi wanatakiwa waishi kwa ajili ya watu na sio maisha yao ya kawaida, na hiyo inawagharimu sana(mostly celeb... )
 
uyo john hakuwa na kaz yyt mkasi,binafsi nlikuwa simpend maswal yake yalikuwa hayana mbele wala nyma
Kipindi kizima kilikuwa na utapiamlo wa elimu, ndiyo maana hata hao wakaweza kuwepo.

Salama anaweza kuuliza maswali au kusema vitu vya ovyoovyo vinavyoonesha kabisa tatizo la elimu ndogo.

Niliangalia kipindi kilichomuhoji January Makamba, nikategemea maswali magumu, nikawa disappointed.

Nikaambiwa nina high expectations, naangalia Mkasi huku nikitegemea maswali ya "Hard Talk" na "60 Minutes".Nikaambiwa hiyo ndiyo style yao.

Kuanzia hapo sijaangalia tena.
 
Kipindi kizima kilikuwa na utapiamlo wa elimu, ndiyo maana hata hao wakaweza kuwepo.

Salama anaweza kuuliza maswali au kusema vitu vya ovyoovyo vinavyoonesha kabisa tatizo la elimu ndogo.

Niliangalia kipindi kilichomuhoji January Makamba, nikategemea maswali magumu, nikawa disappointed.

Nikaambiwa nina high expectations, naangalia Mikasi huku nikitegemea maswali ya "Hard Talk" na "60 Minutes".Nikaambiwa hiyo ndiyo style yao.

Kuanzia hapo sijaangalia tena.
Kwani kipindi kinataka nini mpaka useme ivyo
 
Back
Top Bottom