Wachambuzi wenye vimelea vya uchawa wanasema " hakuna uhusiano wowote kati thamani ya shilingi na ukuaji wa uchumi" na mifano yao ni thamani ya shilingi ya Kenya na Tanzania.
Estonia wanatumia Euro na uchumi wao bado upo kwenye recession.
Euro kwa miaka mitano ipo na thamani karibia ile ile against USD.
Na kuna nchi nyingi za Euro uchumi wake haupo kwenye recession.
Nadhani inabidi tutoke huko kwa kutegemea Dollar ili maisha yetu yaweze kwenda..., Tungekuwa wazalishaji basi tungeshangilia hii hali sababu vitu vyetu vingekuwa cheaper katika soko....
Na tunafanyeji hivyo ? Ni kuacha kutafuta dollar ili kununua vitu ambavyo mahitaji yake sio ya lazima au tunaweza tukawa na alternative..., Mfano mdogo Sasa hivi tunapigia chepuo nishati safi kuacha kutumia mikaa na tunapigia chepuo LPG ambayo tunaagiza, kitu ambacho tunatumia fedha za kigeni; wakati tungeweza kutumia umeme katika kupikia hence kuondoka na matumizi hayo...
Baada ya kuona kwenye Habari Serikali imeanzisha Mfuko wa Nishati Safi ya Kupikia nikaona ni vema tuangalie kwa nchi Yetu Nishati hio ni ipi na ni vipi itatufaa, ili tusije kuingia gharama ambazo zitakuwa hazina manufaa kwetu. Nishati zilizopo: Kwenye kila kaya aina ya Nishati inayotumiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.