Nini hatma ya Shilingi ya Tanzania baada ya kuporomoka dhidi ya Dola ya Marekani?

Wachambuzi wenye vimelea vya uchawa wanasema " hakuna uhusiano wowote kati thamani ya shilingi na ukuaji wa uchumi" na mifano yao ni thamani ya shilingi ya Kenya na Tanzania.
Estonia wanatumia Euro na uchumi wao bado upo kwenye recession.
Euro kwa miaka mitano ipo na thamani karibia ile ile against USD.
Na kuna nchi nyingi za Euro uchumi wake haupo kwenye recession.
 
Kenya wanazalisha na kuuza kwa wingi nje, uswahilini tunaagiza zaidi nje kuliko kuzalisha na kuuza
Rand Moja ya South Africa ni sawa na Japan yen 8.
Na Japan ndie anae export zaidi ukilinganisha na South Africa. Hili unali zungumziaje bwana mchumi
 
Watakwambia umeme ni hatari kwa kupikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…