Nini hiki alichokishika Aziz Ki?

Nini hiki alichokishika Aziz Ki?

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Mbali na simu nini hicho kingine ameshika?
FB_IMG_1709013232071.jpg


View attachment 2917916
 
mojawapo ya kitu kinachonikera ni kuona mwanaume mtu mzima kabisa, ameweka hizo waya kwenye meno kama demu. mwanaume unatengeneza uzuri wa meno ili umpendezeshe nani? ili ukiyakenua yawe mazuri au nini hata huwa sielewi. musonda naye aliweka manyaya hayo, na wakiweka wanapenda kweli kukenua meno ili tuyaone.
 
Baada ya ushindi wa kishindo cha Yanga mashabiki wa Simba wamechanganyikiwa wamekuwa wanaongoza kwa kuleta uzi za ovyo humu. Sasa hiyo mbona inaonekana ni vocha.
Nilisema hao jamaa ni mijinga jinga na mbumbumbu
 
mojawapo ya kitu kinachonikera ni kuona mwanaume mtu mzima kabisa, ameweka hizo waya kwenye meno kama demu. mwanaume unatengeneza uzuri wa meno ili umpendezeshe nani? ili ukiyakenua yawe mazuri au nini hata huwa sielewi. musonda naye aliweka manyaya hayo, na wakiweka wanapenda kweli kukenua meno ili tuyaone.
Hiyo ni kuweka meno yakae vizuri, kuna watu meno huwa yanapandana. Yaani jino moja linaota juu ya jingine.
Au meno yanatokeza nje kabisa ya mdomo na kufanya mtu ashindwe kufumba mdomo.

Sasa wewe kunguru unadhani ni urembo, bure kabisa.
 
Back
Top Bottom